Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Umeelewaje msemo huu ? ''Masikini hajui namna ya kula na tajiri,masikini anapopewa samaki anaanza kula kichwani''
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salamu nawasalimu, Amani nawatakia, Niishikapo kalamu, swali nawaulizia, Si fumbo la kitalaamu, ni hoja nawapangia, Umevunjika chunguni, mwiko wangu, mwiko wangu! Kupika ninavyopika, nikipika...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
MPISHI ASO BAHATI. Babu nakusalimia,nadhani umeitika Swali limenifikia,lazima litajibika Wengi wamelikimbia,na mimi sitoliruka Sababu ulinambia,kwa hilo sitosifika Mwiko nimefikiria,kwanini...
0 Reactions
3 Replies
768 Views
Ni ajeee wana wa humu Ndichi hopefully mambo ni full yeng'eng'e...Basi bhana Jana Night baada ya kutoka kwenye Mbanga zangu za kusakanya Moneygram mjuba nikaona bora nipitie Shola(Shop)Nijipoze...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Kwema wana JamiiForums?!!! Nadhani karibia kila mmoja atakayesoma uzi huu tangu umezaliwa umekuta watu wakitumia neno CHIPS na umekuwa ukilitumia kwa kipindi chote cha maisha yako. Labda kama...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habar wadau,nahitaji nijue hio lugha kwani napenda sana nianze salamu asubuhi mchana jioni kwa wanaume au wanawake nianze hapo.
1 Reactions
17 Replies
19K Views
Wataalamu wa kiswahili nisaidieni kwa hili mtu unamkaribisha chakula halafu anasema Asante.Anamaanisha nini anakubali kula au vipi?
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Halo JF habari mchanganyiko. Juzi nilikuwa na watasha ama wazungu sehemu. Moja alikanyanya jiwe dogo na kuteleza nusura aanguke. Nilishindwa kabisa cha kuongea kwa kumpa pole baada ya neno pole...
0 Reactions
31 Replies
12K Views
Wakuu hii lugha binafsi huwa naiona tamu sana, sambamba na kirusi. Wajuvi karibuni tupeane juzi mbalimbali . Obrigado......
2 Reactions
122 Replies
12K Views
Hakika maneno ya wahenga ni hazina kubwa, Najivunia lugha adhimu ya kiswahili.
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Eti ivi ikitokeya Ali kiba akaenda kutumbwiza South Sudan ao mayotte ..ataimba kitu gani ili waweze kumuelewa?? Ao atabana puwa ajikamuwe hadi wamuelewe kama anaimba like Madonna?
1 Reactions
20 Replies
3K Views
voodoo economics noun INFORMAL•US an economic policy perceived as being unrealistic and ill-advised, in particular a policy of maintaining or increasing levels of public spending while reducing...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Hili bila shaka lilikuwa fumbo kubwa sana , maana katika hali ya kawaida hakuna binadamu anayekula nyama za watu , na kwamba akinogewa ataendelea kuwatafuna tu binadamu wenzake hili si la...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Akutendeae Mema, Kushukuru ni lazima Jaza ya mema ni mema, Maovu kutoyatia Mbona umeghafilika? Kwa jambo lisilo shaka? Shetani umemshika, Na kumuacha Nabia? Unajifanya Mtesi, Kwa Mola wako Mkwasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
>sorry I am Testing my device >NO hardfeelings
0 Reactions
0 Replies
614 Views
Habarini wadau.... Kwa muda mrefu sanaa nimekua nikipata shida sana kwenye Lugha ya Malkia hasa kwenye kuandika/kuongea wakati humu ndani kuna wadau wengi sana wanaijua lugha ya malkia vizuri...
3 Reactions
14 Replies
5K Views
Wasalaam wakuu Nikiwa napita pita mitandaoni nikaona lyrics ya wimbo wa Sauti Sol short and sweet Lyrics hiyo imetafsiriwa Kiswahili lakni ni kuangalia kwa makini maana ikawa imepotea, wimbo...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Ndugu zangu liko shairi moja niliwahi kusimuliwa zamani. Kwa bahati mbaya aliyekuwa anasimulia alikuwa mlevi mmoja na pia mimi nilikuwa mdogo sasa sikumuuliza jina la shairi wala mtunzi wake...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
TUZO YA KISWAHILI YA MABATI-CORNELL YA FASIHI YA AFRIKA: 2019 Utaratibu wa Kushiriki Tunafurahi kuwajulisha utaratibu wa kushiriki katika mashindano ya Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
10 days ago I was accused of "hotlinking". I am a bit mshamba. What is hotlinking and what did I hotlink with what.? Naomba kuelimishwa.
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Back
Top Bottom