Nguruwe pita sina mkuki mie!

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,279
6,647
Habari zenu wana JF, Nimekuja naomba mnisaidie maana ya msemo ufuatao: Kuna sehemu nilikuwa nikipita mama mmoja alikuwa anapenda kuniimbia wimbo huu Nguruwe pita sina mkuki mie wewe haramu kwangu sijakuzaa mie, Naombeni ufafanuzi maneno haya yana maana gani?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom