Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Shikamoo wakuu. ningetaka kuwauliza kuwa "wamekuwa kuona sisi" ni sawa au la? lakini kwa kawaida tuseme "wamekuwa kutuona". zaidi ya hayo, "yako majirani karibu zaidi" ni sawa au siyo sawa...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Kuna msemo mmoja ambao watu wameuzoea sana utasikia jamaa anamguu mkubwa kama nini au anapiga kelele kama nini au mshkaji anaongea kama nini, anakula kama nini Sasa naomba wakuu kujua hilo neno...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Olewenu Nyie Msio Cheka Ntawapa Adhabu Ya kula Mandazi 100 Kwa Dakka Tano
1 Reactions
1 Replies
959 Views
0 Reactions
1 Replies
883 Views
Wanajamvi hivi ni vitu gani vinasababisha mtu kuwa lafudhi ya kabila Fulani anapoongea mfano lugha ya taifa kiswahili
0 Reactions
3 Replies
932 Views
Ulikuwa unavutiwa zaidi na yupi kati ya wakali hao?
2 Reactions
191 Replies
50K Views
Naombeni tafasli ya neno la upe uwanja wa mapenzi kwa kiingereza
0 Reactions
2 Replies
1K Views
I greet you all , Allow me to share my experience with you. It was last week when I traveled in our village to greet my parents. Actually it was quite long time since we I go there , almost 5...
0 Reactions
1 Replies
644 Views
Asalaam, Ningependa kufahamishwa maana rasmi ya hili neno "Ground Floor" kwa kiswahili. Ni sahihi kuitamka "Ghorofa ya Chini" au kuna maana nyingine wakilishi. NB: Imebidi niongeze na hili...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
In my daily routine, I come across many interesting issues. Some I could easily get explanation but others not easy at all. One day I was passing on my way and met with two street children. One...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
One day will become a top 10 millionaire in my country, meaning that I will be a rich person starting to the level of my family all through to my region, called the home of "kusadikika" I will do...
0 Reactions
0 Replies
593 Views
Waungwana kwa anayefahamu naombeni msaada wa tafsiri ya Kiswahili ya msemo wa Kiingereza usemao; 'I Miss You'.
1 Reactions
42 Replies
18K Views
Nawasilisha uzi najua wataalamu kina king kong Demiss manengelo nawengine wenye ujuzi na uelewa kuhusu hili mtanisaidia
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimekumbana na video hii huko Youtube na imenifurahisha nikaona laba niilete kwenye jukwaa hili. kama kuna mtu aliwahi kuileta, basi modereat anaweza kuiondoa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hili swala la mashehe kuongea kiswahili kama vile hawakijuwi vizuri na chenye lafudhi ya kiarabu ni manjonjo au ndio ukweli mashehe wetu kiarabu kinapanda sana mpaka yawa taabu na shidaaa kuongea...
15 Reactions
108 Replies
13K Views
Kwema wana JF? Narudi tena na hili jambo ambalo nimeliandika humu kwa muda mrefu lakini nashangaa ni watu wawili tu wamenitafuta. Kama kuna mtu yeyote wakiwemo wanafunzi anayeweza kuandika au...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwema wana JF? Narudi tena na hili jambo ambalo nimeliandika humu kwa muda mrefu lakini nashangaa ni watu wawili tu wamenitafuta. Kama kuna mtu yeyote wakiwemo wanafunzi anayeweza kuandika au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu Wakuu, Naomba kuuliza kwa yeyote anaejua ni wapi wanafundisha lugha ya Kireno kwa bei nafuu kwa hapa Dar es Salaam naomba anijulishe
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wAkuu umofia kwenu? kuna huu msemo unaosema...mchana tochi usiku magogo? je nini maana yake?
0 Reactions
12 Replies
4K Views
If Teresa's daughter is my daughter's mother, what am i to Teresa? A) Grandmother B) Mother C) Daughter D) Granddaughter E) I am Teresa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom