Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
mi ni mmoja wa watu ambao unaweza kuwaita big fans wa mwanakiji kwa upande wa mashairi,tatizo ni kwamba sijui ni wapi naweza kupata collection nzima ya mashairi ya mwanakijiji,kitabu hivi au blog...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimekukumbukeni' si kweli nilikuacheni' yupi kakwambieni.? Usiku na mchana nipo mtaani' enh! Bado naungua tu juani' naye tulokuwa naye sinaye mkononi' majahili waminiweka shakani' mlango wangu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Washikadau kwanza pokeeni salamu na shukrani nyingi kwa kutujuza yale tusiyo fahamu. Kuna hili neno ambalo na shangaa na kuchangyikiwa kila linapotumika. Neno lenyewe ni MAZINGIRA na Mazingara...
0 Reactions
7 Replies
19K Views
kilingeni naingia, ndimi mwana wazuoni utamu wakolea, wajaa mpaka kisogoni halua nimebwia, imeua hamu mtendeni tende nimeikacha, halua tu naitamani Itaendelea...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Chapter one! ____________________________________________________________ _____________________________________ Where am I? I don't recognize this place; an extravagant house in a...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF, Naomba msaada katika matumizi sanifu ya maneno haya, haswa pale inapotokea nimeulizwa na mtu asiyejua Kiswahili. Mfano mtu akiniuliza katika Kiingereza tafsiri ya: 'Milk' in Swahili -...
0 Reactions
19 Replies
15K Views
Ndugu Wanalugha, baada ya kuhamasishwa na mjadala mkali kuhusu uzawa, uasili, uzalendo na uraia nimeamua kubadili jina langu lisilo la Kiafrika ili niwe na jina la Kikwetu. Sasa shida niliyo nayo...
0 Reactions
47 Replies
8K Views
wadau kuna hili neno ambalo linashika umaarufu kwa kasi ''CHANGAMOTO'' licha ya kuwa nalitumia lkn sijapata maana yake, wadau naombeni msaada juu ya maana halisi ya neno hilo
0 Reactions
1 Replies
5K Views
MEZA YA FUTARI Maghrib ilipofika, meza ya kufuturu ikajaa wapambe. SAMBUSA alivyo mzuri, akatongozwa na BW MKATE WA TAMBI. Kina MATOBOSHA wakamzoma "woooo umemkosaaa!! !" "BW.KEBAB...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wakubwa shikamoo, wadogo habari zenu, naomba kufahamishwa tofauti au maana ya maneno haya: wizi = ? ujambazi = ? ujangili = ? ukibaka = ? uharamia = ? udokozi = ? utapeli = ? ...... Tafadhari...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Vipo vingi vya kuiga, vinavyopaswa kuigwa, Hivyo mtu akiiga, hata yeye ataigwa, Ubaya siyo kuiga, ni vile vinavyoigwa, Kuiga tunakoiga, twaiga na vya kijinga? Mashindano ya urembo, tumeiga...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kiswahili ni lugha ya watu gani? Risala enuka hima, sikae 'kataghafali N'na jambo 'takutuma, ubalegheshe suali Nipate jawabu njema...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Swali nawaulizeni, mabingwa wa kiswahili, Wanazuoni jibuni, kwa kina kiso bahili, Hoja zenu zipangeni, kwa vyema ilo ayali, Ndege asiyetulia, huyo anategwa vipi? Ni ndege nimpendaye, kutwa...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Mtukufu Ramadhani! Date: 7 September, 2007 Bismilahi Raufu, Mhariri gazetini, Mimi sio maarufu, hapo kwenu kilingeni, Nataka kuwaarifu, Islamu na Misheni, Mwezi huu Mtukufu, kiumbe wacha...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nimekuwa nikilichunguza jambo hili ninalotaka kuzungumzia muda mrefu lakini limekuwa linanipa shida kuelewa ni nani wa kubebeshwa lawama au la. Siku za hivi karibuni, kundi kubwa la watu hasa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kula chungwa, kunywa chungwa, kunyonya chungwa.Ipi lugha sahihi?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Haya.. mapumziko time! Wewe unataka hiki, naye anataka kile, Mkononi unachaki, ubao wake ni ule, Mwaitana marafiki, tangu nyie mko shule, Ulichonacho ataka, alichonacho wataka Mbona...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mara nyingi nimesikia ikisemwa maji safi na salama.naomba kuuliza,je maji yanaweza kuwa safi lakini sio salama au yanaweza kuwa salama lakini sio safi?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mfano: Kiswahili 2me = tume cmu = simu cc 2nakuja na 4mu ye2 = sisi tunakuja na fomu yetu gari imetta = gari imetitia tutawacliana 2jue m2 we2 kama u hai = tutawasiliana tujue mtu wetu yu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
DURUSUNI SOMO HILI. Durusuni somo hili, Kwanini hamdurusu? Somo hili Kiswahili, kingereza hakihusu, Durusuni msifeli, somo lote siyo nusu. v Somo kaleta Mwalimu, Pamoja na mtihani. Wanafunzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom