Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nimejaribu kutafuta Uzi humu ndani unaoweza kunipa picha kwa ufasaha tofauti ya MAONO na MITAZAMO au kama mnaweza nisaidia kitaalamu kabisa hapa hapa nitajifunza kitu..... The Charmie
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kumekuwa Na mijadala mudamrefu kuwa Ni lugha gani sahihi kutumika kufundishia, inaonekana lugha hizi zinatoa ujumbe/maana tofauti juu ya suala moja. Je?, Kama tunapata maudhui tofauti kwenye suala...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Karibuni wadau tufunzane jinsi ya kuyatamka maneno ya kiingereza. Mfano maneno haya hapa. 1.Bouquet 2.Crisps 3.Awe 4.Ewe 5.Physique 6.Gadget 7.Pneumonia 8.Croissant 9.Pneumatic 10.Judt 11.Queue...
1 Reactions
16 Replies
9K Views
Kuna tofauti gani kati mubashara na mubashira?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Fonolojia ni sayansi.Jadili
0 Reactions
4 Replies
1K Views
MWANZO WA NGOMA 1)Kweli hii ngoma ngumu,kuipiga na kucheza. Kama unakunywa sumu,chunga watakulegeza. Ipige hadi idumu,ukiacha watubeza. Huu ndo mwanzo wa ngoma,ama kiki watafuta ? 2)wengi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WETU MGAMBO. 1)Siwezi mi kuamini,kama ni wao wenyewe. Imetoka ofisini,wale waje watendewe. Ahadi zi mazishini,laona jicho la mwewe. Hawa ndo wetu mgambo,na ndo kazi waliotumwa. 2)Wayatenda ya...
0 Reactions
0 Replies
738 Views
Naomba wataalamu wa Lugha mnisaidiea kuhusu suala hili. Mimi nasikitishwa sana kuona vyombo vya Habari vya kielektoniki vikiita majina ya kiingereza baadhi ya Vipindi vyao wakati vipindi hivyo...
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Naombeni kujua maana ya neno hili " rijali"
0 Reactions
11 Replies
18K Views
Nahitaji kudownload app ya dictionary english-Swahili ipi ni nzuri jamani? Au anaeifahamu ashare na mimi kwa link basi. Nitashukuru
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Jana nilikuwa naangalia Kipindi cha malumbano ya hoja kinachorushwa na kituo kimoja maarufu cha TV nchini ambacho kwa sasa kinajiita Super Brand Afrika ya Mashariki na kati.Katika malumbano yale...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
TABII STAKIRI Chunga upulikayo, Ya walimwengu ni zakayo, Punga ya hofu ni uikibaliyo, Macho ya ubongo ni zaidi ya uonayo. Ya farisi ya farisi, Ya bahaluli tuyafilisi, Fakiri tumuabiri vizuri...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Msaada jaman nipen uhusiano huo.
0 Reactions
12 Replies
35K Views
I was perusing a local magazine here in USA then met this phrase ' characters of questionable reputation' Could any one here let me know what does it mean as its strange With Regards
0 Reactions
1 Replies
762 Views
Wanaforum habari zenu, nahitaji msaada kupata vitabu kadhaa vya Kiswahili, ni riwaya na tamthilia hasa, nimehamia ughaibuni,(Linkoping, Sweden) karibu mwezi sasa na nahitajika kujifunza Kiswahili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
USITUFUNGE MDOMO. 1)Mikono ina sauti,kali kuliko ya radi. Ulipuka kwa kishindo,inapopanda midadi. Acha mdomo useme,hata kama siyo jadi. Usitufunge midomo,mikono itaongea. 2)Busara hata...
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Ni kiswahili sahihi?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mpumbavu nm(wapumbavu) Mtu anayeshindwa kuelewa jambo hata akielezwa, juha, zuzu, jura, nyange, baghami, bahau, hambe, maarasi, zebe, mbumbumbu...
3 Reactions
19 Replies
37K Views
Tangu nikue, hadi nimemaliza chuo, ni neno moja tu ninaloliona na kuliskia, iwe ni dukani, kwenye TV n.k.: Blue Band. Je, kwa kiswahili inaitwaje? maana nime-google sipati jibu, japo nahisi neno...
0 Reactions
61 Replies
51K Views
Habari zenu wakuu, Nimegundua kujifunza KIFARANSA pekeyangu ni ngumu sana, sipati watu wa kuzungumzanao. Nahitaji watu watatu wenye nia ya kujua lugha ya kifaransa, nitawalipia 40% kama motisha...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom