Fonolojia

Fonolojia

dah unaturudisha skuli mkuu maswala ya kuandika essay wengine tumeacha kusoma miaka kadhaa iliyopita huu ni mtihani
 
Hapo ki ufupi ni sayansi kwasababu inatumia organs kama vocal code, labio kama b, p, dental thi lungs, nasal kama m, n. Labio dental f, v etc
 
Fonolojia au Sarufi Matamshi ni
tawi la sayansi ya isimu. Inashughulikia
uchunguzi wa mfumo wa sauti katika lugha
fulani, kwa mfano ugawanyaji wa irabu na
konsonanti .
 
Back
Top Bottom