Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kama kichwa cha habari kisemavyo. Neno gani la kiingereza lina herufi tatu tu Lakini linaleta maana. Mi nimeeanza na. 1.And 2.Use 3.But 4.See . . . . . . . . 100.Bye
0 Reactions
124 Replies
17K Views
Mfano, Mbowe akamatwa na 1.misokoto 500 2.kete 500 3.puli 5000 Naomba mnisaidie nipate ufafanuzi wa maneno hayo.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Natafuta wafasiri wanaoweza kufasiri lugha hizi kwenda katika Kiingereza: Bangala, Kizigula na Mai Mai. Walio na uwezo huo tafadhali waje inbox. Asanteni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kadri siku zinavyoenda ndivyo Lugha yetu ya Kiswahili inavyozidi kufa na kupoteza msamiati wake fasaha kuna baadhi ya maneno na herufi zinaharibu Kiswahili mfano Neno kama :- SHEMEJI sasa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Maneno mengi huwa na maana tofauti kadli mazingira. Kwa hali hiyo mimi naona maana iliyotolewa kama " ni sauti za nasibu zinazotumika katika mawasiliano baina ya jamii fulani sio sahihi kwa sababu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
“JUMBA LA AJABU” ************************ _______Hadithi za ngano na visasili zina umuhimu mkubwa kwa jamii, zinatoa maaso, maonyo na ujumbe. Aidha, hadithi zinakuza akili za watoto na kuwafanya...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Which is the correct sentence among the following sentences written below :- [emoji637] If I were you, I could build a huge house rather than buying a beautiful salon car [emoji638] If I was...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Jamani naombeni mwenyekitabu kizuri cha English grammer anitumie hapa tusaidiane kusoma hii lugha! Au hata jina la kitabu kizuri cha grammar pia nikatafute madukani
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Namaanisha kioo unachogusagusa kwenye smatphone yako
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari WanaJF. Nahitaji kujifunza lugha ya kikorea kwa njia ya mtandao au mwenye kuweza basi msaada tafazali!! Napenda sana kujua kikorea.
1 Reactions
17 Replies
8K Views
Mum often helps me in doing my homework. Mum often helps me with doing my homework.
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Habari wadau wa elimu! Mimi ni mwalimu ambaye ninafundisha lugha hii muhimu ya biashara,utawala na diplomasia ktk mojawapo ya shule ya sekondari nchini. Kwanini nimekuja na bandiko hili, ukweli...
21 Reactions
205 Replies
27K Views
Wanajf nawaomba mnisaidie nahitaji ufafanuzi nielewe maana ya maneno yafuatayo: Mfano mtangazaji wa TV au radio, au gazeti anasema Mbowe amekamatwa na madawa ya kulevya: 1.Misokoto 500 2.Kete 500...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu na wataalamu wa kiswahili naomba mnidadavulie maana ya neno hilo. Nimemsikia mkuu wa nchi akilitumia mara nyingi katka hotuba zake*yeye ni raisi wa Watanzania wanyonge* WANYONGE NI WATU WA...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
I love you my gentle one, my love is the fresh milk in the rubindi which you drank in the wedding day My love is butter we were smeared with To feel fidelity into our hearts You are the...
1 Reactions
10 Replies
15K Views
An answer plz
2 Reactions
97 Replies
12K Views
Natafuta wafasiri wanaoweza kufasiri lugha hizi kwenda katika Kiingereza: Bangala, Kizigula na Mai Mai. Walio na uwezo huo tafadhali waje inbox. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Leo ni siku ya Lugha Mama duniani ( Mother tongue) JE kwa kilugha chenu MAMA mnaitaje?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
1. Michelle Bachelet 2. Yaa Asantewaa 3...
1 Reactions
160 Replies
20K Views
Nikisoma baadhi ya maandishi katika jengo hili ninaona tunachanganya Kiswahili na Kiingereza. Bila ya nia ya kukebehi bali kwa heshima zote, naomba tujadili ni zipi katika sababu hizi...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Back
Top Bottom