Msaada: Maana halisi ya mtu *mnyonge*

Makuku Rey

JF-Expert Member
Dec 31, 2013
3,382
3,570
Wakuu na wataalamu wa kiswahili naomba mnidadavulie maana ya neno hilo.

Nimemsikia mkuu wa nchi akilitumia mara nyingi katka hotuba zake*yeye ni raisi wa Watanzania wanyonge*

WANYONGE NI WATU WA AINA GANI HASWA? Manesi, walimu, Madaktari, waso na ajira au wakulima na wafanyabiashara.
 
Wakuu na wataalamu wa kiswahili naomba mnidadavulie maana ya Neno hilo!

Nimemsikia mkuu wa nchi akilitumia mara nyingi katka hotuba zake*yeye ni raisi wa Watanzania Wanyonge*

WANYONGE NI WATU WA AINA GANI HASWA?manesi,walimu,madaktari,waso na ajira au wakulima na wafanyabiashara?
Ni watu wasio weza kulipiza kisasi wanapoonewa!! yaani wale watu wanao sema 'akikupiga kofi shavu la kushoto mgeuzie akupige na la pili alafu nenda zako' Kwa kifupi siyo watu kama Tundu Lisu ambaye akionewa anaanza kuhangaika kutafuta haki. Hii nimei develope kutoka katika msemo wa Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, yaani mnyonge ili apate haki lazima mwenye nguvu aamue yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom