Majina ya Kiingereza Vipindi vya Redio/Televisheni

Nyamanoro

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
651
515
Naomba wataalamu wa Lugha mnisaidiea kuhusu suala hili.
Mimi nasikitishwa sana kuona vyombo vya Habari vya kielektoniki vikiita majina ya kiingereza baadhi ya Vipindi vyao wakati vipindi hivyo lugha inayotumika ni Kiswahili,

Hivi ni kweli kiswahili hakina msamiati wa kutosha au ni ukosefu wa ubunifu? na Je wadau wa kiswahili wameshindwa kuliona hilo?
 
Hahahaaaa nenda kigoma, hiyo clouds wanavoitamka utacheka ufe
Kuna watangazaji pia wanachanganya lugha hasa hizi Radio za FM, lakini matamshi yao ya kiingereza ni kituko sana, wanalazimisha ili waonekane wamesoma. TCRA wanatakiwa wafuatilie hili.
 
Naomba wataalamu wa Lugha mnisaidiea kuhusu suala hili.
Mimi nasikitishwa sana kuona vyombo vya Habari vya kielektoniki vikiita majina ya kiingereza baadhi ya Vipindi vyao wakati vipindi hivyo lugha inayotumika ni Kiswahili,

Hivi ni kweli kiswahili hakina msamiati wa kutosha au ni ukosefu wa ubunifu? na Je wadau wa kiswahili wameshindwa kuliona hilo?
Kweli Kaka umefikiri kitu kizuri sana ndugu Mimi nafikiri vyombo husika vinavyosimamia Lugha na mawasiliano vifuatilie suala hili
 
Kuna watangazaji pia wanachanganya lugha hasa hizi Radio za FM, lakini matamshi yao ya kiingereza ni kituko sana, wanalazimisha ili waonekane wamesoma. TCRA wanatakiwa wafuatilie hili.
Kumbe kuongea kiingereza ni ishara ya kua "umesoma?!"
 
Naomba wataalamu wa Lugha mnisaidiea kuhusu suala hili.
Mimi nasikitishwa sana kuona vyombo vya Habari vya kielektoniki vikiita majina ya kiingereza baadhi ya Vipindi vyao wakati vipindi hivyo lugha inayotumika ni Kiswahili,

Hivi ni kweli kiswahili hakina msamiati wa kutosha au ni ukosefu wa ubunifu? na Je wadau wa kiswahili wameshindwa kuliona hilo?
Mfano ni kipindi gani? Please be realistic!
 
Yule jamaa wa kipnd gan cjui EATV badala ya kusema oyaaaah anavtamka sas dah
 
Back
Top Bottom