Naombeni kujua maana ya neno rijali

Rijal ni neno la kiarabu maana yake ni KIJANA.
LIJALI au RIJALI ni neno la kiswahili maana yake ni mwanaume wa mbegu
 
Rijal ni neno la kiarabu maana yake ni KIJANA.
LIJALI au RIJALI ni neno la kiswahili maana yake ni mwanaume wa mbegu
Hapana Mkuu,naomba nikurekebishe,Rijali haina maana kua ni "Kijana"
Kijana ni "Shababi" hili neno pia limetoka kwenye lugha ya kiarabu, So,kuna tofauti hapo kati ya rijali na shababi,
 
Mimi nitakujibu kwa Lugha ya Mtaani,

"Rijali" Ni Kijana anayaweza kumwaga Mbegu za Kyela zikamea,zikakua na zikazaliana Pia.
 
Rijali ni Kiswahili kabisa, neno la kukopwa kutoka Kiarabu, imepokelewa katika kamusi ya TUKI. Haiko katika kamusi za kale zilizokusanywa Unguja (kama Madan, Sacleux), lakini iko kwa Velten aliyekusanya upande wa bara mnamo 1890. Maanake dume, mwanaume jinsi ilivyoelezwa hapo juu.
 
Rijali ni Kiswahili kabisa, neno la kukopwa kutoka Kiarabu, imepokelewa katika kamusi ya TUKI. Haiko katika kamusi za kale zilizokusanywa Unguja (kama Madan, Sacleux), lakini iko kwa Velten aliyekusanya upande wa bara mnamo 1890. Maanake dume, mwanaume jinsi ilivyoelezwa hapo juu.
gud mkuu sijazipitia kamusi ila nashkuru ulichoongea naamini kitakua ni kweli kwa sababu kuha ina kawaid a ya kukua kwa kuongeza msamiati wake na hili neno kama lilivyyo limekopwa kama lilivyo na lilianza kutmika 9zamani sana katika lugha ya kiswahili likionesha mwanaume hassa katika vile vitabu vya kale
nakumbuka usemi mmoja adhim niliukuta katika kitbu cha alfu lela ulela ukisema (MUHTAJ khanith walaukana rijal) hii sentens yote ni ya kiarabu laikin maneno yte hayo yapo katika lugha ya kiswahili
 
Rijaali ni Neno ambalo lipo ktika Quruani (Ariijaalu qawamuuna'alanisai) kwa maana ya Mwanaume ni msimamizi au kiongozi juu ya Mwanamke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom