Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Naomba msaada jaman kuna watu tunabishana nao hapa wengine wanadai ''hakushiba sana''kwa madai Kwamba sarufi ya kiswahili haina dhima ya ''Ja'' Na wengine wanadai 'hajashiba sana' lakini...
2 Reactions
37 Replies
11K Views
Taswira Alimkuta amelala, Akamziba masikio, Kisha akamwambia, "Amka[emoji779] Huu mchana wewe". Hakua kiziwi, Ila alikua fofofo, Kwa mnong'ono wa jazba, "Shauri yako na maisha yako[emoji779]"...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
NDIO MFALME SASA Kaumu vumilieni ndivyo hivyo ishakua Yeye kashiika mpini kiongozi bwana juha Haya mwingi akilini hata ma mbo ya murua Sasa ni Maliki wetu Muhimu kumuelewa Muhimu kumuelewa...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
VERBS these are words that name an action or describe a state of being. They describe what is happening in the sentence. In fact every complete sentence needs to include at least one verb. Types...
7 Reactions
22 Replies
5K Views
SHOMA AHA HADORI! VITETO NA MALUSIMO A CHATHU... 1. Kiruke cha ibwe kimanywa ni igondwa. 2. Kitambi cha muimi ni kiumbi. 3. Ekwira ima si iti anakulie. 4. Nkoma mbiri nyika ni kuntu na mlamue. 5...
3 Reactions
41 Replies
12K Views
Wanabodi, Tusiwalaumu viongozi wetu kutumia baadhi ya maneno yasiofaa au yasistahiki tukidhani viongozi hao, wanafanya makusudi, tuwasamehe bure viongozi hawa, maana kiukweli kabisa, kuna...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF Kuna katabia nakaona sana siku hizi hasa kwa akina dada na baadhi ya vijana kupenda kuchanganya kiswahili na kiingereza katika mazungumzo ya kawaida tu. Neno kubwa linalotumika ni...
3 Reactions
17 Replies
5K Views
Msaada.. #Twafwaa, naliona sana mitandaoni, maana yake nn, kwa kweli sijaelewa, with flashtag..!!
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Change is never easy. Work hard at what you want till it becomes part of you. No quick fix solution. Do it till it's hard for you to go back to your old way of doing things. #HAPAKAZITU
1 Reactions
0 Replies
691 Views
Wakuu nimepata scholarship ya kwenda kusoma Master chuo cha University of leeds. Nimeambiwa lazima nifanye mtihani wa IELTS. Kwanza nikiri kwamba kingereza cha kuongea nipo shallow ila kuandika...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Naomba kufahamishwa nini maana ya neno mpuuzi.na pia ni tusi au ?
0 Reactions
5 Replies
13K Views
Siku hizi kuna msemo wa utani " Mungu anakuona na umekuwa maarufu sana" ni Mungu yupi hawa watu wanamaanisha? "Mungu anasema usilitaje Jina lake bure" Hii kitu siipendagi.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wanabodi, Natazama KTN News hapa, mtangazaji anasema " madaktari wameidindia Serikali"Hapa ndio nachoka kabisa kiswahili cha Kenya kipo wazi huenda hakina aibu. Tusaidiane kwanini kiswahili hiki...
0 Reactions
29 Replies
11K Views
Tunahitaji lugha katika maisha yetu ya kila siku. Tunapofikiri mambo yaliyopita, yaliyopo na yajayo, tunatumia lugha. Tunapowasiliana na wengine, tunahitaji lugha. Lugha, katika mukhtadha huu, ni...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
I’ll tell them to climb their mountain, just keep going towards the top It will not be about how high you reach, but that you never stop. Or I’ll write of my experience, when lying in intensive...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Kiswahili cha Mentor Mentee Asanteni
1 Reactions
2 Replies
3K Views
PANYA AMEPEWA JINA. 1)Panya amepewa jina. Msimwone wamsema. Aachi pewa lawama. Vibaya kumsakama. 2)Panya amepewa jina. Subirini akitoka. Jina le litapanuka. Na wao watapasuka. 3)panya amepewa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau nimetatanishwa kidogo anayejua maana ya wakfu tusaidiane.
0 Reactions
17 Replies
17K Views
Hivi kwa hapa nchini ni kanda/mkoa gani unaongoza kwa kuibua maneno mapya ya kiswahili kama sijakosea kwa kiswahili sahihi ni misimu. Kuna maneno yameibuka siku hizi niya kiswahili ila mtu/watu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom