Wadau mi nipo Dar nafuta mtu au mahala ambapo naweza kufundishwa lugha za kiarabu na kingereza.
Hivyo anayeweza kunisaidia ktk hilo naomba msaada wake.
Ikiwezekana tuwasiliane.
+255 716 453 548
Habari wakuu,tukumbushane kidogo kuhusu maandiko juu ya kichwa cha mada hapo juu..
Je ipi ni dhambi kutokana na maandiko na amri za mungu..?!
Karibu kujifunza..
RIWAYA: Mwanafunzi Mchawi ( A Wizard Student ) - Sehemu ya Kwanza
MTUNZI:ENEA FAIDY
Ilikuwa ni majira ya saa moja jioni ambapo mkuu wa while ya Mabango alikuwa ofisini kwake akiwa amechanganyikiwa...
Katika pitapita zangu za hapa nimekutana na makabila mengi Tanzania yenye mila na desturi tofauti katika kufanya kazi zangu
Ila katika pitapita zangu kila ninapokutana na watu tokea kabila la...
Wakuu,wanabodi,wanajamvi,wanajf
Lugha ya kiswahili ni tamu sana hasa pale unaposoma riwaya au mashairi matamu tena yenye ufundi toka kwa mafundi wa kiswahili.
Upande wa kiingereza kuna riwaya...
Kweli ni jambo LA kushangaza kuwa neno mapenzi ni will katika kiingereza wakati neno upendo ni love.sasa kwa nini watu husema nimefanya mapenzi na yule kaka au yule binti wakati neno hill...
Wasalaam...
Niende moja kwa moja kwenye maada:
Naomba kuuliza kuwa "Asiatic Moslems" wanaitwaje katika lugha yetu adhimu ya kiswahili?
Lengo si lingine bali ni kutaka kujifunza na pia zaidi...
Wana jamvi,
Nimeanza kusoma kitabu cha Marehemu Shaban Robert kiitwacho kusadikika.
Ninakisoma kwa speed ndogo ili nielewe vizuri maudhui yake.
Naomba mlio nacho mniunge mkono.
Kazi hii ni ya mkataba wa mwezi mmoja ambao unaweza kuongezwa. Mfasiri/mkalimani huyo, anatakiwa kuwa na sifa ya uelewa mzuri wa lugha zote mbili, alie na uwezo wa kufasiri kwa kasi na ufasaha...
Wasalaam
Niende moja kwa moja kwenye Maada
Mi ningependa kujua "Asiatic Moslems" wanaitwaje katika lugha yetu adhimu ya kiswahili. Lengo si lingine bali ni kijifunza na naihitaji hii knowledge...
Kiswahili ni lugha nzuri na iliyo tamu sana.
Na ni moja ya lugha zilizo rahisi kujifunza.
Tatizo moja kubwa nilionalo mimi ni ukosefu wa taasisi imara za kukikuza.
Baadhi ya watu hudai...
Asalam aleykum,natumaini ndugu zangu waisilamu mko vizuri baada kupata futari,leo nimemsikiliza mkuu akiongea na ma RPC wote,nisiwachoshe sana naomba wale wataalamu wa lugha waniambiea haya maneno...
Looking to improve your English vocabulary? Then this is the right place for you.
Feel free to post any word together with its meaning, origin, etymology, an example of how it's used in a...