nilikinunua muda kiasi lakini sasa ndio nimepata wasaa wa kukisoma.ndio umekipata hivi karibuni...!?
nilikinunua muda kiasi lakini sasa ndio nimepata wasaa wa kukisoma.
Nahisi naweza kukimaliza kwa siku moja lakini naona niende polepole kwani inawezekana kukawa na falsafa nzito ndani yake na ndio maana nimewaalika wana jamvi twende pamoja.
Hicho kitabu kinaeleza yote kuhusu Tanzania. Angalia tume mbali mbali zilizoundwa kwa gharama kubwa sana na kisha kudharauliwa kwa mapendekekezo waliyoyaleta.Wana jamvi,
Nimeanza kusoma kitabu cha Marehemu Shaban Robert kiitwacho kusadikika.
Ninakisoma kwa speed ndogo ili nielewe vizuri maudhui yake.
Naomba mlio nacho mniunge mkono.