MKUU wa Wilaya ya Uyui mkoani Tabora, Stanley Kolimba, ameshtushwa na taarifa kuwa Shule ya Msingi Mbuyuni katika Kata ya Kigwa, ina wanafunzi 584, walimu sita, vyumba vya madarasa viwili na vyoo...
Bara la Afrika limekuwa likikumbwa na matatizo yanayofanana mfano: angalia Ivory coast, Zimbabwe, Kenya, Sudan na kwingine. imefika wakati baadhi ya watu wanajiaminisha kwamba hali hii inatokea...
"Wanafunzi darasa la saba 2010 wasiojua kusoma na kuandika, wamefaulu kujiunga kidato cha kwanza 2011 kwa asilimia zaidi". Haya ni maandalizi ya vibaraka au maprofesa katika TZ ya leo na ya kesho?
Wanafunzi Ardhi nao waanza mgomo
Thursday, 23 December 2010 20:08
Ibrahim Yamola na Imakulate Peter
MWAMKO wa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kudai...
Serikali yasalimu masharti Udom Send to a friend Wednesday, 22 December 2010 19:49 0diggsdigg
Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha.
Habel Chidawali na Masoud Masasi, Dodoma
HATIMAYE...
Nimesoma comments kibao sana hapa JF kuhusu mgomo wa wanafunzi wa UDOM. Kuna theme moja nimeiona inashika moto hapa JF kuwa wanafunzi wa UDOM ni wana CCM. You know what, hata mimi nilikuwa...
Jana kulikuwa na mkutano kati ya uongozi wa UDOM na mawaziri wa Elimu na Mambo ya Ndani. Mkutano uliendelea hadi saa nane usiku wa kuamkia leo. Na leo asubuhi kulikuwa na msafara wa wote...
Wakuu hili neno kiukweli sijajua maana yake kamili labda inawezekana lina maana kubwa au lina maana nyingi. ningeomba wadau wanaojua maana yake halisi waweze kutuelewesha ,manake kwanza hili neno...
MGOMO wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wa kutokuingia madarasani kushinikiza wenzao waliokuwa wakishikiliwa na polisi kuachiwa pamoja na kupatiwa fedha kwa ajili ya masomo kwa vitendo...
MGOGORO katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), umeibuka upya baada ya wanafunzi wa Kitivo cha Sayansi ya Jamii kugoma kuingia madarasani jana kwa lengo la kuushinikiza uongozi wa chuo kutoa agizo la...
Nimeongea na mwanafunzi mmoja pale chuoni ndo haya amenidhibitishia ijapokuwa wenye fani (waandishi wa habari) confirm zaidi;
Wanafunzi 2 wamekufa, hii inahitaji udhitisho.
wameporwa simu, fedha...
Wanafunzi wa Kile chuo kikuu kinachojulikana kwa wengi kama chuo cha CCM, UDOM wameanzisha mgomo tangu jana usiku na kuendelea asubuhi hii.
Mgomo huo ambao hasa unafanyika katika chuo cha...
Wengi wamekuwa wakiongea mengi kuhusu UDOM na CCM sasa ninachojiuliza sijui hivyo vyuo vingine vya serikali ni vya TLP, APPT Maendeleo, Demokrasia Makini au Jahazi!!!
Naomba wana JF wenzangu...
The government is planning to introduce English as a medium of instruction from standard three in three years, aiming to raise the confidence of Tanzania job seekers in the East African common...
The government is planning to introduce English as a medium of instruction from standard three in three years, aiming to raise the confidence of Tanzania job seekers in the East African common...
By BILHAM KIMATI, 15th December 2010 @ 11:00, Total Comments: 0, Hits: 213
THE government has opened door to hire English teachers from the East African region to help strengthen the education...