Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Nimeongea na mwanafunzi mmoja pale chuoni ndo haya amenidhibitishia ijapokuwa wenye fani (waandishi wa habari) confirm zaidi;
Huenda FFU walielekeza hasira yao kwa UDOM kujifanya kimbelembele jwa CCM lakini nguvu hii ni zaidi ya hapo. Tujadili.
- Wanafunzi 2 wamekufa, hii inahitaji udhitisho.
- wameporwa simu, fedha, viatu na kadi za ATM (na password walilazimishwa). Hili nadhibitisha kwa kuwa wakati napiga akapokea japo sio kuongea labda harakatti za kuzima, nilisikia binti yetu akiambiwa toa na hio na hizo ghafla simsikii tena japo baadae alitafuta namna nyingine ya kuwasiliana.
- Wanafunzi wamebakwa. nilimbishia lakini akaniambia wewe upo Kahama na mimi nipo ndani ya eneo la tukio na huenda wanafunzi wengine wakajiua maana depression imetawala. Inahitaji udhibitisho.
- Wanafunzi zaidi ya 600 wameshikiliwa. Inahitaji udhibitisho.
Huenda FFU walielekeza hasira yao kwa UDOM kujifanya kimbelembele jwa CCM lakini nguvu hii ni zaidi ya hapo. Tujadili.