Mawenzi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,251
- 345
Jana kulikuwa na mkutano kati ya uongozi wa UDOM na mawaziri wa Elimu na Mambo ya Ndani. Mkutano uliendelea hadi saa nane usiku wa kuamkia leo. Na leo asubuhi kulikuwa na msafara wa wote waliokutana usiku kutoka UDOM kwenda mjini, labda kwenda kum-brief Waziri Mkuu.
Na Waziri Mkuu amekubali kukutana na wanafunzi wote wiki ijayo. Amewataka waorodheshe shida/madai yao yote.
Haya ni matokeo mazuri sana kwa UDOM kwani viongozi wake wanajifanya miungu watu. wanachojali ni maslahi yao binafsi tu.
Ujio wa Waziri wa Mamboya Ndani inawezekana ni kutokana na unyama uliofanywa na polisi kwa amri ya Mkuu wa mkoa wa Dodoma
Na Waziri Mkuu amekubali kukutana na wanafunzi wote wiki ijayo. Amewataka waorodheshe shida/madai yao yote.
Haya ni matokeo mazuri sana kwa UDOM kwani viongozi wake wanajifanya miungu watu. wanachojali ni maslahi yao binafsi tu.
Ujio wa Waziri wa Mamboya Ndani inawezekana ni kutokana na unyama uliofanywa na polisi kwa amri ya Mkuu wa mkoa wa Dodoma