Jaman kuna jambo tunapaswa kulitambua kuhusu maisha
usiku syo muda wa kufanya mapenzi ni mda wa kufikilia kupata pesa kusudi ukiamka hasubui njia uzifanyie kazi
ila sisi wabongo hatujui hilo...
Tanzania ni moja ya nchi iliyobarikiwa na vivutio vingi sana vya utalii hapa duniani.
Kwa utafiti uliofanywa kuna vivutio vingi sana hapa Tanzania lakini bado hatupata mwanya wa kujitangaza...
Wakuu,naombeni ambaye anazifahamu gharama za kutembelea mbuga ya wanyama ya Serengeti anipe,nipo Mwanza,je ninaweza anzia safari huku? Au hadi wapi? Nataka twende huko na mke wangu,nimejaribu kwa...
Ndugu habari ya asubuhi,
naomba kujua kama jina la biashara lina linaimplication katika usajili wa jina la kampuni. Nilisajili jina la bashara sasa nataka kuanzisha kampuni. nimelogin kwenye...
Tozo hii ilikuwa inatozwa na bandari kwa kiwango cha 1.6% ya thamani ya mzigo kwa mizigo ya nchini na 1.25% kwa mizigo ipitilizayo (transit). Kwa sasa tozo hii inatozwa na TRA. Hoja yangu ni kuwa...
ndugu zang JF,
Naomba nipate malezo juu ya mambo haya:
1.maana ya fixed account
2.faida zake ni zipi ?
3.je hiyo faida hupatikanaje ?
kwa mifano itakua poa zaidi.
Misingi Mitano(5) Muhimu Ya Kufanikiwa Kwenye Ujasiriamali na Biashara.
Katika ulimwengu wa sasa ambao ajira zimekuwa ngumu na shida kupatikana, ujasiriamali na biashara vimekuwa ndio...
Njombe — Serious agricultural investments through the Public-Private Partnerships (PPPs) are a panacea towards industrialisation of the country and building a middle-sized economy.
Njombe...
Kwa Wale wote wanaopenda kuWa mamilionea
Tunapoongelea suala hili au neno mafanikio, kila mtu huwa ana maana yake kulingana na maana yake anayokuwa nayo kwa wakati wake na kwa eneo lake husika...
*Mark Elliot Zuckerberg* ndiye mgunduzi wa Facebook na mmiliki wa Whatsapp. Mwezi huu wa May, 2017 jarida la Forbes lilimtaja kuwa tajiri namba 5 duniani, akiwa na utajiri unaofikia US$ 63.3...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
Although the bias on this pair is bullish, bulls are getting tired of pushing price upwards. Price consolidated last...
Habari zenu ndugu zangu, Nimefikilia kujiajili kwa kufanya uwakala wa crdb lakini bado natafuta information muhimu zitakazo nisaidia ktk biashara yangu mpya maana bado sijawa na uzoefu.Naomba kwa...
Kutoka kwa
Abuu Abdillah
Tafakari:::
Tafakari tena tafakari kwa sababu Umri haurudi unazidi kusonga mbele Leo unamuongelea Ronaldo kuwa na miaka 30 kumiliki utajiri mkubwa hata ww ni wazi...
Habari wadau.
Naomba msaada juu ya biashara ya printing hasa kuhusu bei za mashine ya kuprintia A4 and A3 coloured flyers, banners, billboards, calendars, tickets, magazines, n.k
Naomba msaada...
USHAURI KWA WAFANYABIASHARA WA TANZANIA
Tangu jana Juni 5/2017 nchi za Saudia, Emirate, Bahrain, Misri, Yemen, Libya na Maldives zimeingia mgogoro wa kidiplomasia na nchi ya Qatar. Mgogoro huo...
Habari zenu wanajf?
Kwanza kabisa nitoe pongezi zangu kwa shirika letu la nyumba NHC. Tangu menejimenti mpya ya akina Mchechu na wenzake ianze kufanya kazi; tumeona mabadiliko makubwa katika...
Naamini...........
Unahitaji kufanikiwa kwa kuwa na elimu nzuri, nyumba nzuri, gari zuri, uwe na miradi inayofanya vizuri na kukupa kipato kizuri.....
KWA UFUPI UNAHITAJI KUWA NA MAISHA BORA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.