Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habarini wanajukwaa? kwa wale wakatoliki hii itatugusa zaidi. Ni ukweli usiopingika kwamba hii radio station inayoitwa Radio Maria inafanya kazi kubwa kuinjilisha kwa njia mbali mbali kama...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Tulimtukana sana Mwijage kuhusu kauli yake ya kuhamasisha kuwa kiwanda ni hata pale unapokuwa na vyerehani vinne. Katika pitapita yangu kwenye mtandao nimekutana na kampuni au kiwanda kilichoanza...
0 Reactions
1 Replies
927 Views
Habari Wanajukwaa: Kwa Wale Wadogo Zangu Mliochaguliwa Vyuo Vya Afya Hasa Diploma ( Clinical Medicine, Pharmacy & Nursing) Kuna Hii Biashara Ya Vifaa Vya Hospital Vya Mwanafunzi ( Vital Sign...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Moja ya Chalange inayo tukabili wajasiriamali wa bongo ni kuto ku heshimu dream zetu. Kila mmoja najua ana dream au Idea yake ambayo angetamani kuitekeleza kabla hajafa. Ila tatizo ni pale mtu...
9 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba kuuliza hii taasisi ya PRIDE imefilisika? Nauliza haya kwasababu siku hizi wamekuwa wakisua sua sana kukopesha Pesa. Inafikia kipindi hadi mkopoji had I wa tsh300000 inawachukuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naskia kuna baadhi ya biashara ukitoa zanzibar kuleta bongoland..zinalipa saana...n pia kuna biashara ukitoa bongoland kupeleka zanzbr kuna faidaa...ninaomba kujuzwa juu ya hilii kwa yeyote...
1 Reactions
9 Replies
8K Views
Habari zenu wanajamvi. Naomba kujua fursa za biashara zilozopo katika visiwa vya Comoro. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu najaribu kuwaza tu Maana hizi zimekuwa ni Kama hela za dunia
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu kuna clip nimeiona whatsapp inasambaa ambapo yule mzee Simbeye mwenyekiti wa sekta binafsi anaongea kwamba tarehe 13 october kuna nafasi za kwenda China kuangalia fursa za viwanda ambapo...
3 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa kufanya BOOKING ya uhakika kwa usafiri wa barabarani kutoka Mwanza kwenda mikoa mingine nda ya Tanzania... Andaa siti yako mapema kwa kuchagua aina ya gari ulipendalo.. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau naomba kuuliza. mimi nina biashara ya salon ya kiume 'barber shop' ambayo nina TIN number iliyoandikwa kwa jina langu na jina la hiyo salon, ila hivi sasa ninataka niongeze salon ya pili...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
TRA nawakumbusha tu, mko busy kukusanya mapato kwa wafanya biashara wanaopata faida kidogo kwa mwezi, wafanyakazi wa uma wenye vipato hadi laki 300 kwa mwezi mnawakata. Lakini msanii anapata...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Pikipiki XR used 2 zinatafutwa u
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Amani iwe kwenu wanaJF Katika pitapita zangu mitandaoni hivi majuzi nimekutana na huu uwekezaji mpya kwa jina la D9 CLUBE SPORTS TRADING Kwa maelezo yao wanajihusisha na biashara ya michezo na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapendwa ningependa kufaham kuhusu watu wanaofanya biashara kama distributors wa makampuni ya vinywaji kama vile cocacola, pepsi and the like, kuwa; 1. Wanafaidikaje? 2. Risks zilizopo kwenye hiyo...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
za saa hizi wapendwa,,jamani naombeni msaada..mimi ni msichana naependa sana ujasiriamali tatizo langu ni mtaji..nina idea kibao kuna kusafirisha culture nje,kuna kufungua biashara ya pop corn...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Jaman bei ya mahindi imefika shilingi ngapi huko mlipo.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu, Naomba kujuzwa kuhusu kuwa wakala wa M-BET nafaidikaje na kuwa wakala wao na napataje ile mashine. Naomba kuwasilisha asante.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari, Hivi karibuni nimekua najipanga kuingia kibiashara ya usafirishaji kwa maana kununua Noah na kuitumia kutengeneza kipato cha ziada pamoja na kumtoa dogo mtaani bila ya lakufanya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom