Asalaam wakuu
Ktk ile ofa yangu wengi wamenijia inbox na kupendekeza jina liwe bashite.
Sasa nimeogopa kutengeneza bango maana hilo jina mmmh! Halitakuwa na shida kweli? Lisije kuniletea shida...
Wapendwa, nina miaka miwili sasa nikijishugulisha na kilimo kama biashara, na kinanilipa kiasi chake.nimepanga kuisajiri biashara yangu, kuwa inajihusisha na kilimo na ufugaji wa kuku ingawa kuku...
Helo JF katika sekta ya kilimo mwaka huu wakulima wengi hawakupata mazao jambo ambalo linawakatisha tamaa wengi wao.n Nililima ekari tano mwaka huu na matarajio yangu katika kila ekari itoe...
This is what I think on how we can move forward!
Introduce methods of farming that are different from digging a hole in the ground and cover it up with soil. Make agriculture a science. To farm...
Mradi wa Bomba la mafuta kutoka Uganda- Tanzania, Tanga unaweza kwenda sambamba na Mradi wa maji safi kutoka mto Kagera. Kwa kufanya hivi tutapata unafuu wa gharama za Mradi wa maji safi na ya...
Mimi ni mjasiriamali ,ni mwenyeshule iliyosajiliwa .Nilikua natoa darasa la saba la Mara ya pili kisanga cha kuundiwa kesi ya uhamiaji kikanifika Mungu bariki nilijitetea na kupewa haki yangu ya...
Habari zenu waungwana,
Mimi ni binti niliyeolewa mwaka huu. Awali nilikuwa nafanya kazi kwenye moja ya NGO hapa jijini Dar mpaka pale tulipopunguzwa kazini kutokana na hali ya uchumi wa kampuni...
kushirikishana sio vibaya, toka nimeajiliwa huu mwaka wa nane sasa, sijawahi pandishwa dalaja.nina mradi wa kuku na biashara nyingine ndogondogo tatu, nikijumlisha mapato yake ni mara mbili ya...
Wadau ni ndoto yangu kuanzisha biashara ya kukodisha muziki eneo Fulani ambako ni kijijini na Huduma za muziki zipo chini ila sherehe ni nyingi pia.
Naomba mawazo yenu kuhusu changamoto na namna...
Habari waungwana,
Kwangu naona kama haiwezekeni kutegemea mshahara pekee wakunifanya nijikwamue kimaisha, hivyo imenilazimu niingie kwenye biashara kwa haraka sana.
Sikuona kama nitapiga hatua...
Viwanda vingi vya hapa nchini vilikufa na hata vingi vilivyopo vinachechemea na sekta ya viwanda imedumaa.
Unajua ni kwa nini?
Katika nchi zilizoendelea, sekta ya viwanda ni complementary/...
Pretoria — The 2017 Mining Charter has increased the level of black ownership in mining companies from 26% to 30%.
"Holders who have maintained a 30% black shareholding will not be required to...
Declaration: I live in Tanga city and i have no problems if am considered to harbour bias for my port city
I am proposing that the Government considers Tanga port for the recent Ethiopian deal...
huu ni mvinyo wa Penasol, yani hapo ndio umetoka kufunguliwa kizibo lakini kama picha inavyojionesha ndani kulitakiwa kuwe na SEAL! lakini haipo imeshatobolewa
Kuna biashara kubwa inayoendelea ya...
Anneth Jacob au Mama Gilo, ni mkulima mdogo wa mpunga kutoka skimu ya lake tatu mkoani Arusha. Awali Mama Gilo alikua akivuna magunia 7 ya mpunga kwa kutumia mbolea za kawaida. Baada ya kupokea...
KUTOKANA NA UZOEFU WANGU KTK INDUSTRY YA TELECOM YAFUATAYO YANAHITAJI SERIKALI IINGILIE KATI
1. Mabadiliko holela ya bei kutoka makampuni ya simu na washirika wake ( Huawei na Helios towers )...
Hisa za Vodacom ambazo zilitakiwa kuanza kuuzwa June 12 katika soko la DSE sasa zimepigwa kalenda kwa mda usiojulikana, sababu kamili haijafahamika.
Link:
Tanzania: Anxiety As Vodacom Listing At...
Vodacom walianza kuuza hisa zao za IPO tarehe 9 march na kufunga tarehe 18 april, ila waliongeza muda kwakuwa hazikununuliwa kwa kiwango kilichotarajiwa. sasa toka wameongeza muda hatupati...
hii ni kuwagandamiza watanzania tena, kwanza uchumi mmeudumaza na watanzania wengi wameshindwa kununua hisa za Vodacom, sasa mmetunga sheria kulazimisha makampuni ya simu yauze hisa DSE, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.