Ndugu wana JF, kwanza napenda kumpongeza ndugu yangu Temu kwa jinsi anavyozidi kuliimarisha shirika la Swissport.
Pili nina machache, nakuomba kaka kama una nia na umedhamiria kuibadilisha...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
The market largely consolidated last week – in the context of an uptrend. A movement below the support line at 1.1100...
Kwa mud mwingi sana watu wanatengeneza blogu na applications kwenye Playstore ili ziwaingizie kipato.
Je, ni kwa namna gani nitafidika na bligu au kutengeneza application kwenye G/Playsore...
Habari wana jukwaa.
Leo nizungumzie jambo moja linalo wagharimu watu na nimeona hata humu humu.
Wengi wetu tumekuwa tunapata mihemuko baada ya kuona either Picha za mtu analima, picha za Mtu...
Mimi nafanya kazi serikalini. Nimekwama kifedha. Nahitaji mkopo laki 5. Mwezi huu kodi. Mtoto anaumwa. kaka anafunga harusi. Sijachanga. Nilikopa bank nikanunua kiwanja bado makato makubwa...
Jamani mnaotaka kujenga kuweni macho sana na wauza mbao zile treated tunazonunua kwa futi hasa hasa pale buguruni.Leo nilienda kununua mbao pale baada ya kupata vijisenti kdg ktk hali hii ngumu...
Naomba msaada ni Bank gani naweza kufungua account na kupata Visa au Master Card siku hiyo hiyo maana na uhitaji nayo mapema sana
Msaada wenu wakuu...
Shukurani
Naomba kuulizwa wapendwa
Kumekuwa na tabia ya wafanya biashara wa maduka kuwakimbia maofisa wa TRA au wakisikia wapo jirani wanafunga maduka yao
Je nn kinafanya wakimbie?
Au kuna unyonyaji...
Kufuatia mapinduzi makubwa ya kitechnolojia, uhitaji wa matumizi ya nishati ya mafuta (petroleum) unakaribia kufika ukomo.
Makampuni makubwa ya marekani yanayofanya biashara ya kutafiti...
Ngoja Niweke Kumbukumbu Sawa Juu ya Wizi Uliofanywa na Acacia.
Kuna Mijadala,Matamko na Maandiko Mbali Mbali kutoka kwa Wananchi Wenzetu wa Tanzania Ususani kwa Viongozi na Wafuasi Wa Vyama vya...
Habari zenu wakuu
Nina shamba la mpunga morogoro vijijini nategemea kuanza kuvuna wiki mbili zijazo.
Kama kuna mtu ana combine harvester ipo mikoa ya karibu na Morogoro naomba tuwasiliane...
Jaman kuna jambo tunapaswa kulitambua kuhusu maisha
usiku syo muda wa kufanya mapenzi ni mda wa kufikilia kupata pesa kusudi ukiamka hasubui njia uzifanyie kazi
ila sisi wabongo hatujui hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.