Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

WanaJF, Naomba mwenye material ya Transformation of demand curve, Network externalities anipatie tafadhali, nimejaribu kutafuta lakini sijafanikiwa Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kheri wazeiya? Nilidhani bongo kwetu ndo kunatatizo la maisha mabovu kwa wananchi ambao tena wanaishi katika miji ambayo inamadini ya kutosha...labda hii ni kwasababu wachimbaji wadogo wadogo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Big Banker is watching you—more closely than ever. With lenders still skittish about making new loans, credit bureaus and others are hawking services that help banks probe deeply into your...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Fraud involving debit cards and personal-identification numbers is on the rise as criminals go where the cash is—even targeting banks' own automated teller machines. Techniques such as...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ATM Fraud Gets Even More Brazen provided by Fraud involving debit cards and personal-identification numbers is on the rise as criminals go where the cash is—even targeting banks' own automated...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
GrEaT ThinkERS!!! Nijuavyo mimi kuna mambo mengi sana ya kutathmini kabla ya kufanya uamuzi kujenga kitu mahali fulani, Pamoja na yote tumesikia ahadi nyingi za viwanja vya ndege vya kimataifa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nina kamkoko kangu nataka nikakatie comprehensive insurance, sasa ningeomba kwa anayejua ni insurance company gani si wasumbufu wa kulipa wakati wa misukosuko anielekeze, hizi ajali za kila...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wana jf mtakuwa ama mumeona au hata kununua vingamuzi (decoder) na antena za kampuni ya star times ambayo ni mshiriki wa tbc katika mambo ya tv. Jirani yangu alinunua decoder hiyo kwa shs...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Issue 00644 November 27 - Dec 1, 2010 issn 0856 - 9135...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
By MASATO MASATO, 21st July 2010 BHARTI Airtel, an Indian telecommunications company that has acquired African operations of Zain, yesterday announced an investment of 150 million US dollars...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Ndugu zangu wana JF, Kuna tetesi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) Bw. Philemon Luhanjo amefikisha umri wa kustaafu. Kama ndivyo, mbona anaendelea na kazi tu? Au Rais ana madaraka ya kikatiba ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Katika utafiti uliofanyika unaonyesha katika population ya Tanzania only 10% ndio ina tumia huduma za kibenki. Hata hivyo asilimia hiyo kiduchu haijui au haina Elimu ya mikopo inayotakiwa. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Can Africa economic pundits invent acronyms like BRIC or VISTA which will foster investment and opportunity to our people? http://http://www.economist.com/node/17493468?story_id=17493468
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wachumi na wajuziwahii sekta naombwa kujuzwa kwa lugha nyepesi maana ya hili neno bailout Ireland nchi bayo ukisoma ni moja kati ya nchi zilizokuwa na uchumi mzuri zaidi ulaya kuliko hata...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mshawahi kusikia hiyo b'ness? Kuna wadau wapo kwenye huo mtandao? Vipi mafanikio yao hadi sasa?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bharti Airtel launches new global brand to unify its African operations All customers will experience the same familiar brand and enjoy the same quality of service, reliability, innovation and...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Written by Egesa Bwire 22 November 2010 East African Business Week (Kampala) The general environment for doing business in Tanzania has slipped slightly in comparison with last year as...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wakuu wana jamii hongereni kwa elimu bora. napenda kufahamu uhalisia wa hili swala la watz kuuza zaidi katika soko la jumuiya ya afrika mashariki. Je imeleta tija kwa kiasi gani kwa mtz? a.n...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Gazeti la Mwananchi la leo linaripoti ya kuwa kigogo mmoja wa Tanesco amesababisha hasara ya mamilioni ya fedha baada ya kupuuzilia mbali ushauri wa kitaalamu wa wadogo zake kazini ambao ni...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwa watakaohitaji nauza Toyota GX 100 kwa sh7.5 Milioni. Ipo katika hali nzuri na imetembea kilometa 54,000 tu, ina Air condition, iko katika hali nzuri sana tena sana. Wasiliana nami kama unahitaji.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom