Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 9
Wana JF . . . naamini humu kuna wachumi waliobobea. Nataka nifahamu, mfano Tanzanian Shillings ipande thaman mpaka kufikia dola moja ya kimarekani, 1 US $ inabadilishwa kwa Tsh 4. Hivyo mwenye Tsh Million 8 atakuwa ana US$ Million 2 ambazo ni pesa nyingi sana. Hivyo mtu mwenye Million 12 tu za bongo ana uwezo wa kuagiza V8 za US$ 180,000 kila moja hata 10. Na vitu vingi vya thamani vitaonekana kama BURE. Je hali hii itaruhusiwa kweli bila kuweka expire date kwa noti zilizopo ili zisitumike? Na kama itakuwa hivyo, vipi kwa mtu ambaye ana pesa benki, kiwango chake cha pesa kitakatwa au? Sijui nimeeleweka??