Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Kwa kuwa mimi si mtaalam wa uchumi nitaanza kwa kuomba radhi pale nitakapoandika mambo yatokayo kwa mtu wa kawaida (lay person). Ni kuhusu bei ya mafuta inayozidi kupaa kila siku. Sasa hivi bei...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
[FONT="Century Gothic"][/FONT Wachumi naomba mnisaidie maana kamili ya neno Inflation kwani naona bei za vitu zinazidi kupanda lakini anakuja afisa mzito wa Serikali/Takwimu anasema Inflation...
0 Reactions
3 Replies
48K Views
Ivi ni kwamba madini yameisha chini au? Nasikia vitu vimeanza toweka wakati kuna walinzi Mbaya zaidi wameacha MASHIMO jamani ivi hii serikali iko serious bse ata sustainable environmental...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Chinese workers build 15-story hotel in just six days As the United States and China battle over the finer points of currency manipulation at the G-20 summit, American negotiators may want to...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
wanabodi nawasalimu, nimepata mradi ULIONIZIDI KIMO ambao nina uzoefu nao kiutaalam, kwa kawaida (kutokana na uzoefu ) profit margin inarange kati ya 40-55% NATAFUTA MUWEKEZAJI (MSHIRIKA WA...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
With Gold Prices hitting a new record high of $1403 and currency volatility looms the currency markets concerning what should be a medium of exchange. Some financial regulators are proposing a...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wiki iliyopita nilisikia kuwa TUCTA wanapanga kuipeleka Serikali mahakamani kwa kuchakachua mishahara ya wafanyakazi sekta binafsi. Wakati wa kampeni tumesikia kuwa wafanyakazi wa serikali...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ndugu Zangu, Hebu kaeni kwanza mfikirie, iwapo hili nalo linahitaji mkono wa Serikali. Nazungumzia suala la makazi yasiyo rasmi, yaani, squatter areas. Ndani ya Dar yametapakaa kila kona, hata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAKU NA WEHESHIMIWA POLENI NA PIRIKA ZA UCHAGUZI Nahitaji ushauri na maarifa kwenu wana JF mimi nafkiri kuanzisha biashara ya kusafirisha ndizi za bukoba nje ya nchi lakini sifaham utaratibu wa...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Wakuu, Kuna tangazo mtakuwa mshaliona kwa juu... Wateja wa Zain mtakapoongeza salio tarehe 15 Novemba (Jumatatu) kuanzia sh. 500/= na kuendelea utajipatia 20% ya ziada siku hiyo tu. Kwakuwa ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naelekeza mahojiano yaliyotangulia kuhusu "gharama za ujenzi Tanzania" na kuanzisha thread hii ambayo nia yake ni kuleta technologies mbali mbali zinazotumika ulimwenguni katika ujenzi ulio nafuu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Serikali ya Sweden imesaini mkataba wa kuipatia Serikali ya Tanzania Sh.bilioni 44 kwa ajili ya mradi wa usambazaji wa umeme vijijini. Akizungumza wakati wa kusaini mkataba huo jana na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau naona Uhusika wa John Andrew Chenge, Iddris Rashid, Tanil Kumar Somaiya na Shailesh Pragji Vithlani katika Manunuzi ya Radar 1999 ni uhujumu wa Uchumi na inabidi washitakiwe kuhujumu Uchumi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi uchumi wa nchi yetu ukoje kwa sasa? na kipimo chake ni nini kinacho onyesha uchumi uko juu au chini?.Maana hali sio hali,pesa shida kupata na ukiipata haina thamani.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tanzania inaongoza kwa kutoa misamaha mikubwa zaidi ya kodi ikilinganishwa na nchi nyingine za Afrika Mashariki pamoja na bajeti yake kuwa tegemezi kwa misaada ya nje kwa zaidi ya asilimia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
It is my first time joining JF,I have gone through different threads/topis from when it started and find it more advanced,interesting and a nice web share different ideas and with my case ...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari ya leo wanaJF? Naomba mwenye kufahamu mfumo au sera ya kodi ya nchi yetu (Tanzania) inasemaje kuhusu ukataji kodi katika mazingira yafuatayo: Kwa mfano; mtu aliyeajiriwa (serikalini au...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tarehe 01/11/2010 mfumuko wa bei ulikuwa hivi, je siku 100 zijazo tarehe 08/02/2011 hali ya nchi itakuwaje? Tutegemee anguko la mfumuko wa bei au kupanda kwa bei? Indicative Foreign Exchange...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kutokana na visingizio vifuatavyo watu/Bussinessmen wengi wameonelea ni bora kuagiza wahindi kutoka India kutokana na tofauti ya matatizo lukuki tuliyonayo ya kuzaliwa nayo ambayo hutufanya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
ndugu zanguni, nimekaa nimefikiria kuhusu uanzishaji wa ka-biashara ka kukodisha Party and wedding tents pamoja na viti (kwa ajili ya harusi, sherehe nyingine, misiba, mikutano etc).. Lengo ni...
0 Reactions
3 Replies
16K Views
Back
Top Bottom