Kwa kuwa mimi si mtaalam wa uchumi nitaanza kwa kuomba radhi pale nitakapoandika mambo yatokayo kwa mtu wa kawaida (lay person). Ni kuhusu bei ya mafuta inayozidi kupaa kila siku. Sasa hivi bei...
[FONT="Century Gothic"][/FONT
Wachumi naomba mnisaidie maana kamili ya neno Inflation kwani naona bei za vitu zinazidi kupanda lakini anakuja afisa mzito wa Serikali/Takwimu anasema Inflation...
Ivi ni kwamba madini yameisha chini au?
Nasikia vitu vimeanza toweka wakati kuna walinzi
Mbaya zaidi wameacha MASHIMO jamani ivi hii serikali iko serious bse ata sustainable environmental...
Chinese workers build 15-story hotel in just six days
As the United States and China battle over the finer points of currency manipulation at the G-20 summit, American negotiators may want to...
wanabodi nawasalimu,
nimepata mradi ULIONIZIDI KIMO ambao nina uzoefu nao kiutaalam,
kwa kawaida (kutokana na uzoefu ) profit margin inarange kati ya 40-55%
NATAFUTA MUWEKEZAJI (MSHIRIKA WA...
With Gold Prices hitting a new record high of $1403 and currency volatility looms the currency markets concerning what should be a medium of exchange. Some financial regulators are proposing a...
Wiki iliyopita nilisikia kuwa TUCTA wanapanga kuipeleka Serikali mahakamani kwa kuchakachua mishahara ya wafanyakazi sekta binafsi.
Wakati wa kampeni tumesikia kuwa wafanyakazi wa serikali...
Ndugu Zangu,
Hebu kaeni kwanza mfikirie, iwapo hili nalo linahitaji mkono wa Serikali.
Nazungumzia suala la makazi yasiyo rasmi, yaani, squatter areas. Ndani ya Dar yametapakaa kila kona, hata...
WAKU NA WEHESHIMIWA POLENI NA PIRIKA ZA UCHAGUZI
Nahitaji ushauri na maarifa kwenu wana JF mimi nafkiri kuanzisha biashara ya kusafirisha ndizi za bukoba nje ya nchi lakini sifaham utaratibu wa...
Wakuu,
Kuna tangazo mtakuwa mshaliona kwa juu... Wateja wa Zain mtakapoongeza salio tarehe 15 Novemba (Jumatatu) kuanzia sh. 500/= na kuendelea utajipatia 20% ya ziada siku hiyo tu.
Kwakuwa ni...
Naelekeza mahojiano yaliyotangulia kuhusu "gharama za ujenzi Tanzania" na kuanzisha thread hii ambayo nia yake ni kuleta technologies mbali mbali zinazotumika ulimwenguni katika ujenzi ulio nafuu...
Serikali ya Sweden imesaini mkataba wa kuipatia Serikali ya Tanzania Sh.bilioni 44 kwa ajili ya mradi wa usambazaji wa umeme vijijini.
Akizungumza wakati wa kusaini mkataba huo jana na...
Wadau naona Uhusika wa John Andrew Chenge, Iddris Rashid, Tanil Kumar Somaiya na Shailesh Pragji Vithlani katika Manunuzi ya Radar 1999 ni uhujumu wa Uchumi na inabidi washitakiwe kuhujumu Uchumi...
Hivi uchumi wa nchi yetu ukoje kwa sasa? na kipimo chake ni nini kinacho onyesha uchumi uko juu au chini?.Maana hali sio hali,pesa shida kupata na ukiipata haina thamani.
Tanzania inaongoza kwa kutoa misamaha mikubwa zaidi ya kodi ikilinganishwa na nchi nyingine za Afrika Mashariki pamoja na bajeti yake kuwa tegemezi kwa misaada ya nje kwa zaidi ya asilimia...
It is my first time joining JF,I have gone through different threads/topis from when it started and find it more advanced,interesting and a nice web share different ideas and with my case ...
Habari ya leo wanaJF? Naomba mwenye kufahamu mfumo au sera ya kodi ya nchi yetu (Tanzania) inasemaje kuhusu ukataji kodi katika mazingira yafuatayo:
Kwa mfano; mtu aliyeajiriwa (serikalini au...
Tarehe 01/11/2010 mfumuko wa bei ulikuwa hivi, je siku 100 zijazo tarehe 08/02/2011 hali ya nchi itakuwaje? Tutegemee anguko la mfumuko wa bei au kupanda kwa bei?
Indicative Foreign Exchange...
Kutokana na visingizio vifuatavyo watu/Bussinessmen wengi wameonelea ni bora kuagiza wahindi kutoka India kutokana na tofauti ya matatizo lukuki tuliyonayo ya kuzaliwa nayo ambayo hutufanya...
ndugu zanguni, nimekaa nimefikiria kuhusu uanzishaji wa ka-biashara ka kukodisha Party and wedding tents pamoja na viti (kwa ajili ya harusi, sherehe nyingine, misiba, mikutano etc).. Lengo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.