Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Ndugu wazalendo,
Labda kuboronga kwa viongozi wetu kupo ndani ya DNA yetu. Juzi katika vijiwe vyangu. Mdau akawa anabonda viongozi wa Tanzania. Mara akapokea simu kutoka bongo. Katika mazungumzo ya simu akamwagiza mpigaji kuwa mizigo ikifika bandarini basi wamuone mtu fulani hili wasilipie ushuru.
Kuna vijana wengi tu wanaokwenda Dubai au China. Lakini faida yao inapatikana kwa kukimbia kulipa kodi.
Labda kuboronga kwa viongozi wetu kupo ndani ya DNA yetu. Juzi katika vijiwe vyangu. Mdau akawa anabonda viongozi wa Tanzania. Mara akapokea simu kutoka bongo. Katika mazungumzo ya simu akamwagiza mpigaji kuwa mizigo ikifika bandarini basi wamuone mtu fulani hili wasilipie ushuru.
Kuna vijana wengi tu wanaokwenda Dubai au China. Lakini faida yao inapatikana kwa kukimbia kulipa kodi.