Salaam, mimi ni mteja wa huduma za mtandao wa TIGO kwa muda mrefu.nimekuwa nikitumia mtandao huu tangu enzi za mobitel ,buzz,na sasa Tigo. Kwa masikitiko yangu mtandao wa Tigo pekee ndio hauna huduma ya kupiga na kuongea na mhudumu (100) kama una jambo la kuuliza au kulalamikia huwezi kupata huduma hiyo na kama utapatiwa namba ya customer care basi utailizwa kama upo tayari kilipia kwa huduma hiyo. na hata uliambia subiri uunganishwe na mtoa huduma basi wakati unasubiri kuunganishwa basi mara mtandao(simu 0inakatika.
kero hii sasa ni zaidi ya miaka mnitatu na tume ta mawasiliano kama ipo makini haijawa kulitolea tamko lolote kama wafanyalo ni sehemu ya wajibu wao au ni msaada tu.
Masikitiko yangu zaidi ni hivi karibuni ifikapo saa za jioni huduma ya Tigo inakuwa ya shida sana .simu utakayopiga badala ya kupata mlio wa wito au hata wa bussy tone au kuwa simu haipatikani simu itanyamaza kimya kisha inakatika,ukituma ujimbe unapata taarifa kuwa msg sent kisha ujumbe mwingine kuwa msg fauled. unatia shaka na kuangalia salio pia unapewa ujumbe wa failed..
ukijaribu kutumia simu nyingine(mtandao tofauti) unapata line thru na kuzungumza na unayemtaka.
Nimefanya utafiti kwa watumiaji kadhaa wa huduma hii ya Tigo na kugundua nao wanalalamika kwa kero kama yangu hivyo wazo la labda ni simu yangu(handset) inakuwa haina Nguvu. Hapa ndipo napo gundua kuwa TIGO IKO BOFU bana...
Tigo au tume itujibu kama hii ndiyo huduma tuitarajiayo toka kwao
Mzee Mafwili
kero hii sasa ni zaidi ya miaka mnitatu na tume ta mawasiliano kama ipo makini haijawa kulitolea tamko lolote kama wafanyalo ni sehemu ya wajibu wao au ni msaada tu.
Masikitiko yangu zaidi ni hivi karibuni ifikapo saa za jioni huduma ya Tigo inakuwa ya shida sana .simu utakayopiga badala ya kupata mlio wa wito au hata wa bussy tone au kuwa simu haipatikani simu itanyamaza kimya kisha inakatika,ukituma ujimbe unapata taarifa kuwa msg sent kisha ujumbe mwingine kuwa msg fauled. unatia shaka na kuangalia salio pia unapewa ujumbe wa failed..
ukijaribu kutumia simu nyingine(mtandao tofauti) unapata line thru na kuzungumza na unayemtaka.
Nimefanya utafiti kwa watumiaji kadhaa wa huduma hii ya Tigo na kugundua nao wanalalamika kwa kero kama yangu hivyo wazo la labda ni simu yangu(handset) inakuwa haina Nguvu. Hapa ndipo napo gundua kuwa TIGO IKO BOFU bana...
Tigo au tume itujibu kama hii ndiyo huduma tuitarajiayo toka kwao
Mzee Mafwili