Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

VANCOUVER, Nov. 22 /CNW/ - Tanzania Minerals Corp. (the "Company") (TSX-V: TZM.V) (FRANKFURT: CA87600X1087) is pleased to announce that it has entered into an agreement with Primary Capital Inc...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunaomba wahusika wa ticts wawe na mtazamo +(chanya),una myima mteja waiver ya storage ya mzigo mpaka unafikia kuuzwa mnadani na customs and excise,unakuta gharama za ticts storage ni kubwa mara...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana jamvi. Jamani naombeni msaada kwa mwenye uelewa, nahitaji kufuga kuku wa mayai ila eneo ninalotaka kufugia umeme bado haujafika, je naweza kutumia nishati gani mbadala. Natanguliza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada ya kubadilisha jina kutoka Celtel kwenda Zain mwaka 2008, kampuni ya Zain inatarajiwa kuanza rasmi kutumia jina jingine jipya la Airtel kuanzia tarehe 22 November 2010 (jumatatu ijayo). Hii...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Ndugu wana jamii ninahitaji kuchimba kisima cha maji safi,ila sina uelewa wa makampuni yanayohusika kuchimba visima,ninaomba yeyote anayefahamu company yoyote inayochimba visima kwa bei nafuu
0 Reactions
4 Replies
3K Views
wadau kuna ndugu yangu ana interview tarehe 30 TRA na anataka kujua customs zote za TRA. Msaada please anaeweza kum-mention please help!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The top ten brands in Tanzania, according to the research findings, were Azam, Nokia, Blue Band, Tigo, Vodacom Tanzania, Kilimanjaro Pure Drinking Water, Whitedent, University of Dar es Salaam...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Juzi nilikuwa Morogoro mjini na nilipita maduka kadhaa ya jumla nikitafuta battery aina ya Duracell size AA. Maduka mengi hazikuwepo ila kuna Bwana mmoja anauza TV na satelite dishes ambaye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gazeti la habari Leo linatuhabarisha ya kuwa Mkoani Rukwa noti za bandia za shilingi 10, 000/= zimezagaa...............................
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Najua siku hizi mnadai mnafanya kazi kwa mtandao,mtu ana lodge document leo inachukua siku 8 mpaka 10 na hapo unafuatilia ,wakati mwingine inasahaulika kabisaaa!,halafu kibaya zaidi wakati...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Gazeti la Majira linatuhabarisha ya kuwa huko Kibaha huu mkasa umewakuta wanavijiji wanyonge.......... sijui wanavijiji hawa walengwa walipigaje kura..............................kama walichagua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
I have a good agriculture plan which will yield a profit of 15m within 4 month but it need a capital of 10m.for anyone interested with this please contact with me with adress firstone2011@yahoo.com
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wadau poleni na mihangaiko inayotuweka mjini, naomba mwenye ujuzi au uelewa wa malighafi inayotumika katika utengenezaji wa vioo anijulishe jamani, na je hapa kwetu Tanzania kuna kiwanda...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari fellows! binafsi napenda kujua na ninashauku kubwa kwanini budget ya nchi yetu uandaliwa na non-economists nkimaandisha mawaziri ambao wengi wao hawajasoma uchumi indeep nakusabisha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
I’m often asked how social networks can be used for practical business purposes. While convincing people that LinkedIn is a good professional tool is not hard, many folks are not using Facebook...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salam wakuu, mlioko mjini (dar), hivi wazo la kuwa gaming centre yenye machine za kisasa inaweza kulipa? Tafadhali nijuzeni, kama kuna game centre yenye mashine za kisasa wanatoza bei gani (kwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wana JF; kama kuna mtu ambaye ana bidhaa ambayo anafikiri kuongeza masoko, ninaweza kufanya marketing hapa Zanzibar na kuwa sales represenative wake.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada kwenye Mtaro hapo!!Hivi jamani wakuu kwa niaba ya mke wangu ambaye anataka kufanya biashara ya kupeleka bidhaa zilizotengenezwa na ukili! ila sasa mpaka sasa hivi bado tunahangaika kujua...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Inasikitisha Kwakweli Katiaka Ulimwengu wa sasa pale Demand ya Service ni Kubwa ila hamna Supply. Nimezungukia Tanesco Mpaka Nimechoka, ni Mwezi wa Nane huu hawa jamaa wanajisuasua tu kuniwekea...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna habari za ndani kuwa TANESCO imefilisika wala haikopesheki tena.source katibu mkuu wa wizara!kama kuna mwana jf aliye na data zaidi amwage hapa. Tukumbuke 8% only ya watanzania ndio wapatao...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Back
Top Bottom