Forbes list of world's richest people
Name
Wealth
Main business
Source: Forbes magazine
Carlos Slim
$74bn
America Movil, telecoms
Bill Gates
$56bn
Microsoft, software
Warren Buffett
$50bn...
Watz tupo katika giza sababu ya mgao wa umeme ambao haujulikan lini mwisho wake. Jambo la kushangaza mno ni kwamba pamoja na huu mgao, wateja wa Tanesco wanaotumia mita za zaman wanalipa bill kama...
Naombeni mnisaidie jaman ni jambo gani ambalo Kikwete kalifanya katika awamu yake ya kwaza ambalo litakufanya wewe kama Mtz umkumbuke Rais wako huko mbeleni?
Saturday, 12 March 2011 10:29
Fredy Azzah
WAFANYAKAZI wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wameishutumu Wizara ya Nishati na Madini kwa kutoa maagizo ya upendeleo wa kutokata umeme...
Mi binafsi nakiona chama cha mapinduzi ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi yetu. Kwani kimesheheni viongozi wasio na muono pia dira na hivyo kuliingiza taifa katika mzozo na dimbwi la...
KUNA MAMBO MENGI YA KULETA TANZANIA NA KUBUNI NJIA ZA KUIWEZESHA NCHI
KUINUA UCHUMI MIMI NADHANI HII INAWAWEZA KUTUSAIDIA KAKA USAFILISHAJI www.lifeofmshaba.com: UBUNIFU WA USAFIRISHAJI HUKO...
Dear coallegues, JF members,
It has just come in mind that POVERTY, DISEASES and IGNORANCE which used to be our great enemies have recently changed to be the dearest friends of ccm. When it...
Gavana ndulu inabidi ajiuzuru kwa kulitia taifa letu hasara ya mabilioni ya shillingi. alipokuwa akitoa sababu za kubadilisha pesa alisema pesa zilizopo inabidi zibadilishwe kwa kuwa hazina ubora...
Wadau naomba kusaidiwa uelewa katika hili. Hivi ni lazima kwa watumishi wote wa serikali, mashirika ya umma na yale yasiyo ya kiserikali kuhifadhi mafao yao katika mfuko wa NSSF?. Na kama si...
NDUGU WANAJF,
NAOMBENI MSAADA KAMA KUNA MTU ANAJUA KAMPUNI YOYOYE INAYO KODISHA VIFAA VIFUATAVYO KWA HAPA DAR AU NAIROBI. TUNAHITAJI KUKODI VIFAA KWA AJILI YA KAZI YA UFUNGAJI MITAMBO
Mobile...
The rising cost of living has made the need for management of personal finances more urgent than ever before. If you have a poor money habit, you should have realised by now that you need to...
Angalia magazeti yetu fulani yalivyokuwa yakiandika vichwa vya habari na linganisha na stori yenyewe.
Mheshimiwa JK Amejiuzulu
Katika hali isiyokuwa ya kawaida( inaendelea ukurasa wa 4)...
Jamani wadau, please naomba msaada mtu anaejua kampuni inayoweza kunitengenezea package za chaki (box ndogo na Kubwa) na juice (Box).,NB: Naomba location na full address if possible
Nilibahatika kumsindikiza rafiki yangu duka la jeshi ambako anaamini wanauziwa bidhaa kwa bei ya chini.
Maduka yote yanamilikiwa na wahindi, Nilichoona
Bidhaa zao nyingi zina ubora hafifu, Na...
Nawasalimuni wanajamvi!
Mwaka jana nilikuwa nikimsaidia mgeni mmoja kwenye shughuli za uwekezaji. Mbali na taasisi nyingine, alikatishwa tamaa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) pamoja...
Jamani bei ya mafuta inazidi kupaa wiki iliyopita tulikuwa tunanunua diesel kwa Tshs1,750 kwa lita lakini jana yamefika Tshs 2,000 (ongezeko la zaidi ya 14%). Je inawezekana hii nayo ikawa moja...
Nimekuwa naangalia link ya airtel kwenye JF ambayo inasema 'NUSU SHILINGI YA UKWELI mchana kutwa, mwanzo hadi mwisho'. Nilipojaribu kuifuatilia link hiyo nikakuta ndani ya mtandao wa airtel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.