Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
kiraracha anapambwa sana na vyombo vya habari vya ccm. tena sasa cccm wanahakikisha kiraracgha anatangazwa habar zake kila kona hadi bbc. yaani kwenye kamati ya hesabu za mashirika ya serikali za mitaa, kiraracha anatangazwa sana kuliko ata dr. slaa aliyefanya kazi kwa itija kubwa enzi zake. lakini huyu kiraracha naona anataka umaarufu tu kutoka kwa bosi wake aliyemgharamia matibabu-ccm. kiraracha analipa fadhila. tena kwa kwa kafu na klipumba hawana chao, baada ya kuolewa ana cc,m sasa kiraracha anaweza kugombea urais 2015 kwa pesa za ccm. yetu macho.