Wana JF
Katika pitapita zangu ndani ya jukwaa hili nimejionea mambo mengi sana ambayo yanaweza kutusaidia kama Watanzania kujikwamua kiuchumi.
Pamoja na hayo mimi pia nimefika mahali nimeona...
Please find attached area, location and the picture of the Property.
The asking price for the property is 1.2 M USD.
Hope to hear from you soon.
Dalali hakuna
Sijui hizi bank zimeingiwa na mdudu gani wamejaza walinzi na makamera kibao lakini hakuna kitu nina mpango wa kwenda kuwashitaki,
Juzi nilidraw hela kutoka kwa teller baada ya hapo nikawa...
Napenda tuulizane swali hili
Maana nadhani hata sisi kwa ssis wenyewe, wanasiasa wetu, rais wetu na mawaziri wake . hatuna commo na understanding juu ya ni nini hasa ni uti wa mngongowa...
Kanisa Katoliki lakataa msaada wa mbunge
Thursday, 03 March 2011
Mussa Mwangoka, Sumbawanga
KANISA Katoliki katika Jimbo la Mpanda mkoani Katavi, limeagiza kurudishwa kwa msaada uliotolewa na...
The cooperation and participation of the private enterprises in housing development is intended to help in effective implementation of national housing policies, to solve the urban housing...
Nimekuwa nikifuatilia maendeleo ya watu wanaoendelea kumiminika huko Loliondo na nimeanza kuziona fursa mbalimbali za kibiashara ambazo zikitumika vizuri zinaweza kutatua matatizo yanayojitokeza...
Kuna ndugu yangu amenipa kiasi cha Tsh 500000 nifanye biashara,je wanajamii wenzangu nifanye biashara gani?nimeisha umiza kichwa sana kuwaza lkn cjafanyikiwa,nisaidieni.
Nimekuwa nikiathirika sana na hili suala. una baadhi ya sehemu wanakataa kabisa kupokea Dola za Kimarekani ambazo ni za mwaka 1999 kurudi nyuma, mfano Exim Bank pale Mliman City wakati sijawahi...
Habari wana JF?
Nina kampuni yangu nimeisajili kila kitu, ilikuwa vizuri kimtaji kabla ya kuiacha na kwenda kutafuta elimu zaidi. Gharama na maendeleo ya shule yote nilikuwa natoa kwenye...
Dear Sir
I refer to the recent death of the Technical Manager at your company and wish to apply for the replacement of the dead manager.
Each time I apply for employment I am told there is no...
Hivi punde nimetokea mitaa ya kati kuutafuta mchana mwema, hapa NMB morogoro Rd. branch kuna foleni kubwa ndani kiasi kwamba Binti mmoja ameshindwa kuhimili amedondoka na kuzirai hivi nimepishana...
Jamani cjaelewa kabisa yaani P.A.Y.E kwa wafanyakazi ni kubwa mno!
Yaani inatisha, mie kila nikipokea salary slip yangu nazidi kuichukia serikali kwa kunikata pesa zangu tele na huku maisha...
Hizi pembejeo za kilimo zinazo tolewa nchini!ni matatizo tupu.mkoa knjaro wilaya ya HAI MACHAME MASHARIKI 50% ya wajane yatima wamekosa.na nimojawapo ya watu wenye mashamba.chakushangaza,30% ya...
Huwezi kuamini NBC mlimani city Dar hua inatakiwa iwe imefunguliwa kuanzia saa 4 asubui,ila mpaka sasa hawajafungua.Wateja wamejaa hata ATM hazifanyi kazi.NBC imekua inafanya vibaya sana kwa...
Wandugu kuna ndugu yangu kaibiwa fedha zimechotwa kwenye account yake na kuwekwa kwenye account za watu wawili tofauti, Hili limetokea bank ya NMB halafu wahusika wa bank wamepewa taarifa lakini...
serikali ya mtaa wa Oysterbay inatoza ushuru wa ku park magari coco beach Tsh 700
Hizi pesa zinaishia wapi?
Ili serikali ya mtaa itoze ushuru wa maegesho , bylaws zinatungwa au ni wazo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.