Hivi karibuni vyombo vya habari viliripoti mgogoro katika kanisa moja la kianglikani lililopo Ukonga Dar es salaam. Mgogoro huo unatokana na waumini kumkataa kiongozi wa kanisa. Ktk jitihada za...
Ukipewa namba zinazofuatana katika series yenye constant interval between one number,the previous number and the next number,ni rahisi sana kuzijumlisha,tuanze na idadi witiri ya namba...
dah,kama vp tuwaenzi wale maticha wanokoooo,kwenye level zote angalao kwa kuwataja majina tu
Ndetiyo'mazengo primary
'huyu alikuwa akikuta sehemu yoyote lazima akuangushie stiki za hatari'...
kuna jamaa mojaa alikuwa ana ishi na mkewe,sasaa jamaa akawa anatabiaa ya kula kilaa siku saa saba au saa nane usiku....wife kavumilia,ikabidi amuulize.jo mbonaa kila siku unakulaa usiku sanaa...
leo nilikuwa nasikiliza redio moja wakawa wanasema babu kachangia sana maendeleo ya kijiji cha semumge ikiwa na pamoja kuwekewa minara ya sim za mkononi, na kujengewa barabara,
wakauliza je hiki...
Mheshimiwa Rais, mimi ni mpiga kura wako ambaye nimekuwa sifurahishwi na maneno yanayoanza kuzoeleka sasa kama misamiati sahihi ya kuwapa matumaini yasiyokuwepo ama kwa sababu hamna utashi wa...
tamko la serikali
"tutaendelea na utaratibu wa kukata umeme nchi nzima mpaka tutakapoheshimiana,na kutambua nani mkubwa na nani mdogo katika nchi hii,mpaka mtakapowataja woote walioshusha...
Ni kweli Bro, hawa warombo wamepitiliza bana. Hebu cheki kisa hiki cha kweli kilichotokea US; Bill Gates organized an enormous session to recruit a new Chairman for Microsoft Europe.
5000...
Siku moja tu baada ya harusi yao, mke akagundua kuwa mume wake ni kikojozi. Akamvumilia mpaka wakamaliza wiki moja. Siku moja mke akamwambia.
"Mume wangu, majirani wanaona kila siku tunaanika...
CCM . . . . Acheni kufanya siasa za kuwashambulia chadema kwani mnawaongezea umaarufu. Kumbukeni jambo moja kwamba nchi maskini kama Tanzania matatizo ni mengi sana na karibu yoote ni rahisi sana...
Talk of stress!
Level of stress: you give a lift to a beautiful girl, she faints inside your car and you take her to hospital. Now that's stressful.
But at the hospital , they say she is...
Tulianza kama utanituu,safari hii tuikuwa Kitandani!
Nikiimgeuzia huku yumo,nikibadili mchezo, yumo nikaona duh! imekula kwangu leo.
Nikampa viwili kwanza fasta fasta kisha nikamuuliza"una...
Siku moja kijana mmoja alikamatwa akiiba nguo ambazo zilikuwa zimeianikwa kwenye kamba mtaa fulani maeneo ya Kinondoni Dar es Salaam. Ilikuwa kama saa sita na nusu hivi usiku. Baada ya...
Habare wanathnker! Ninaomba mnisaidie na kama kunawanasayansi wanielimishe kwanini KISAMVU HAKIIVI KIKIKATWA KATWA KAMA KABICHI MPAKA KITWANGWE (hata ukitumia kuni meli 20)eti wanajamii inakuwaje...
Mshikaji alikuwa anaendesha punda. Siku moja alimuuliza rafiki yake, "kwa nini gari zinaenda mbio?" akamjibu "zinatumia mafuta". Siku ya pili akaenda sheli na punda wake. Alipofika akamnyanyua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.