leo nilikuwa nasikiliza redio moja wakawa wanasema babu kachangia sana maendeleo ya kijiji cha semumge ikiwa na pamoja kuwekewa minara ya sim za mkononi, na kujengewa barabara,
wakauliza je hiki kingekuwa kipindi cha
uchaguzi. babu akatangaza ameambiwa na mungu agombee urais matokeo yangekuwaje
wakauliza je hiki kingekuwa kipindi cha
uchaguzi. babu akatangaza ameambiwa na mungu agombee urais matokeo yangekuwaje