Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
CCM . . . . Acheni kufanya siasa za kuwashambulia chadema kwani mnawaongezea umaarufu. Kumbukeni jambo moja kwamba nchi maskini kama Tanzania matatizo ni mengi sana na karibu yoote ni rahisi sana kuyatolea nadhalia za kuyaondoa kuliko vitendo.
Mnachotakiwa kufanya ni kuhubiri mazuri mlofanya ili raia waone mwelekeo wenu badala ya kupambana na chadema kwa mtindo huo mnaofanya. Mnachofanya kwa sasa ni kuitengenezea chadema umaarufu usio haki yao!!
Mnachotakiwa kufanya ni kuhubiri mazuri mlofanya ili raia waone mwelekeo wenu badala ya kupambana na chadema kwa mtindo huo mnaofanya. Mnachofanya kwa sasa ni kuitengenezea chadema umaarufu usio haki yao!!