JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mimi nakumbuka wakati mdogo nipo darasa la nne (4) nilienda jikoni nikaiba mandazi matatu nikapanda kitandani ili nile yale mandazi huku nimejilaza kitandani usingizi ukanipitia. asubuhi Mother...
1 Reactions
126 Replies
17K Views
University students waliingia kwenye quiz ya kuongea,two friends ambao walikuwa wakisaidiana walikubaliana aingie mmoja ambaye yuko vizuri kichwani ili akitoka ammezeshe mwenzie. Kwakuwa muda...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ukitaka ufaidi raha ya ngono usifanye na polisi atakuambia 'mikono juu'. Wala usifanye na mhasibu atakuwambia 'na huku lazima ubalansi' au nesi atasema 'mwengine ingia' nakushauri mara zote ufanye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna mpemba alipelekwa mahakamani, kwa kesi ya wizi wa muhogo. Yule mpemba alikuwa anaweka zogo sana mahakamani. Jaji akamwambia askari 'mpe chai' askari akampiga kibao. Baada ya ya dakika mbili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi everyone, I'm the owner of www.itsdar.net and i'm currently looking for contributers for the blog. anyone living in Dar and has a decent camera, even if its with a mobile phone (the quality has...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zilizothibitishwa na mmoja wa wanafunzi wa udsm ambaye amewahi kufuatwa na nape zinasema katibu huyo mwenezi ametafuta vijana ambao tayari wameanza kazi rasmi hapa jamii.Kazi yao ni kuleta...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Binti mmoja wa miaka tisa alikuwa kapanda juu ya mwembe akiangua maembe, kijana mmoja jirani yao ambaye kahamia mitaa hiyo hivi karibuni akawa akipita chini ya mwembe huo na kumuona, akamtaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
(a)3(N+1)=M. (b)M-(2N+3)=P. Substitute N kwa umri wako,jibu la equation(b) i.e P=umri wako!mfano umri wako ni miaka 21,then;(a)3(21+1)=66;(b)66-(42+3)=21 ambao ndo umri wako!
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Fikiria wewe ni mwanaume, uko ofisini kwenu, unaingia chooni na kukuta haja kubwa imedondoshwa pembeni ya choo inafuka moshi, unashindwa kujisaidia unaamua kutoka. Unapofungua tu mlango unakutana...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
A Priest dies and waits in line at the Gates of Heaven. Just ahead of him is a guy in casual Jeans and T-Shirt.The Angel addresses this guy, "Who are you, so that I may know whether or not to...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Fikiria usingekuwa na ****** ungekuwa na hasara gani au faida zipi?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naona mkuu sasa anataka Tanzania iingie kwenye kitabu cha kumbukumbu kwa kuwa kinara wa kuandaa mikutano, semina, warsha na makongamano ya kimataifa. Nasikia kuna kongamano jingine tena...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Come here, take off your pents and knickers, get on top of me, enjoy until u get satisfied, loving yours..... toilet! In a bath room, a boy touches a girl everywhere! You Know whose that...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nafikiria kesho kile kipindi cha Marehemu Sheikh Yahya Hussein kilichofahamika kwa jina la Nyota Zenu kitakuwaje, itaonyeshwa historia yake, mazishi, au vipindi vyake vya long? maana hiki kipindi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna judge mmoja alitoa hukumu akaandika jalada la hukumu hivi, Kill him, not let him go. Badala ya kill him not, let him go
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Two Tanzanian Masters students at the London School of Law were heading to the city to visit the Palace of the Queen. On the waiting station came these common London storey buses. They entered in...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ilikua n maisha kigetogeto skuli asa jamaa akaingia geto akakuta msosi mezan akakaribishwa akachukua maji ili anawe gafla akaingia jamaa mwingingine mara baada ya huyo jamaa mwingine kuingia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bwana mmoja aliingia chumba cha binti yake akakuta binti anafanya mapenzi na kijana wa jirani huku TV inawaka. Baba: We Joi, hujui kubana matumizi ya umeme? Tv iko on hakuna wa kuitazama. units...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
T>Trouble making company A>Always no power N>Never aver decent E>Ever lasting trouble S>Stupid company In Tanzania C>Citizens are fed up O>Opening the doors to Tanzania's most UN wanted...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamaa Mmoja likiuwa anasafiri akitumia treni na alikuwa amevaa nguo zilizoraruka na kuchakaa, alipofika kituo kimoja cha treni akaona nguo za mitumba na kwa kuwa alikuwa na pesa akanunua viatu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom