tamko la serikali
"tutaendelea na utaratibu wa kukata umeme nchi nzima mpaka tutakapoheshimiana,na kutambua nani mkubwa na nani mdogo katika nchi hii,mpaka mtakapowataja woote walioshusha asilimia za kura kutoka 81 mpaka 64,kwenye uchaguzi mkuu,tuna imani mtatuheshimu tu,na lazima kieleweke,thithiem oyee!
"tutaendelea na utaratibu wa kukata umeme nchi nzima mpaka tutakapoheshimiana,na kutambua nani mkubwa na nani mdogo katika nchi hii,mpaka mtakapowataja woote walioshusha asilimia za kura kutoka 81 mpaka 64,kwenye uchaguzi mkuu,tuna imani mtatuheshimu tu,na lazima kieleweke,thithiem oyee!