kama vip!

sugi

JF-Expert Member
Feb 12, 2011
1,392
291
dah,kama vp tuwaenzi wale maticha wanokoooo,kwenye level zote angalao kwa kuwataja majina tu
Ndetiyo'mazengo primary
'huyu alikuwa akikuta sehemu yoyote lazima akuangushie stiki za hatari'
Magadula'lake sec'huyu naye alikuwa balaaa,lazima akufanyie tu
Mugarula'mazengo tech'mnoko huyu akikomalia ishu lazima utimuliwe shule tu
Sembuche'SUA'full majigambo ya kukamata watu kwenye maths
......................
.........................
 
dah,kama vp tuwaenzi wale maticha wanokoooo,kwenye level zote angalao kwa kuwataja majina tu
Ndetiyo'mazengo primary
'huyu alikuwa akikuta sehemu yoyote lazima akuangushie stiki za hatari'
Magadula'lake sec'huyu naye alikuwa balaaa,lazima akufanyie tu
Mugarula'mazengo tech'mnoko huyu akikomalia ishu lazima utimuliwe shule tu
Sembuche'SUA'full majigambo ya kukamata watu kwenye maths
......................
.........................
Mkoma SUA, nae alikuwa msumbufu na somo la general chemistry!
 
TIJO-Makumira sec alikuwa na balaa kichizi akiwa zamu
Damme - Makumira sec piga sana madenti ngumi za mgongo jamaa alikuwa anapenda ubabe kinoma
Pre (elisante)-Makumira anakuuliza swali ukimjibu anakupiga,ukikaa kimya anakupiga sijui alikuwa anataka nini
 
TIJO-Makumira sec alikuwa na balaa kichizi akiwa zamu
Damme - Makumira sec piga sana madenti ngumi za mgongo jamaa alikuwa anapenda ubabe kinoma
Pre (elisante)-Makumira anakuuliza swali ukimjibu anakupiga,ukikaa kimya anakupiga sijui alikuwa anataka nini

tehe tehe teheee,huyo alikuwa hataki kukuona classs
 
dah,kama vp tuwaenzi wale maticha wanokoooo,kwenye level zote angalao kwa kuwataja majina tu
Ndetiyo'mazengo primary
'huyu alikuwa akikuta sehemu yoyote lazima akuangushie stiki za hatari'
Magadula'lake sec'huyu naye alikuwa balaaa,lazima akufanyie tu
Mugarula'mazengo tech'mnoko huyu akikomalia ishu lazima utimuliwe shule tu
Sembuche'SUA'full majigambo ya kukamata watu kwenye maths
......................
.........................

usimsahau unyama unyama pale mazengo , lushita na dhebu wa mazengo primary.
 
Mrs Gupta, aki-conceive tu ni balaa mboko kwa kwenda mbele hana kingine alichokuwa anajua.
 
mr. Losujaki, almaarafu kama chief wa ilboru,,, huyu alikua hafai jamani,,, mtata vibaya mno
 
Mwlm Lwiva almaarufu kama MAN U pale karatu boys. Huyu hajawahi kucheka na mwanafunzi.
Sasa yuko UDOM.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom