JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kosta iliyobeba abiria wakat akiwa anaendesha ghafla mbele kulikuwa na trafik akampungia mkono na kumsimamisha wakat ameshampita trafik akaona kitu kuwa kunatofaut akamfuata dereva na kumwambia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tunauza, Mikate, Kisusio, matofali, mchele, kokoto, oil chafu, nyama choma, matunda, nondo, cement, firigisi za kuchoma, majeans, kofia, maziwa fresh, mtindi, mkaa, baiskeli, dizeli, matairi...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Kuna kila dalili kesho kutatokea umwagaji damu hapa Arusha, naomba viongozi wa CDM wanipe mimi dili la kutengeneza DVD ya matukio ya kesho ili na mimi nijikwamue kutoka ktk wimbi la unasikini...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
JF up! Nakumbuka ndio nlikua namaliza masomo nchini Amerka....nkitoka nafanya shopping za nguo na viatu navituma kwa ndugu zangu kila walipo! Siku moja mizigo ikazuiliwa..baadae ilichiwa. Ndugu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanajamvi nipe tafsiri ya Ferguson kutetemeka mikono na miguu kuliashiria nini, dogo mmoja alitania eti ni kiduku ya Ughaibuni ya kweli hayo?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Watoto walikuwa wakicheza, muda wa kurudi nyumbani ukafika. Mmoja akaanza kulia, Mtumishi wa Mungu akamuuliza, 'Unalia nini?'. 'Nimepoteza yeboyebo zangu', dogo akajibu. Mtumishi akamwambia...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
KIJANA WA KIDOSI BAADA YA KUMALIZA TUITION YA KISWAHILI, ANAJIBU IFUATAVYO: (1) Mfa maji?… tampa life jacket. (2) Mwenda pole?…tachelewa fika. (3) Usipoziba ufa ?…mizi taona mpaka dani. (4)...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
muandishi wa habari wa TAMWA alimuuliza MILIONEA,"hivi ni nani aliyekusaidia kuwa milionea?"milionea akajibu"MKE WANGU"mwandishi akasema,"kweli wanawake ni msingi wa maendeleo,kabla ya hapo...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kuna kale ka sheria ka kulinda haki za watoto (The Childrens 2009)sijui utekelezaji wake umeishia wapi. Nipo hapa Arusha City Park (Rest in Peace) ni karibu kabisa na kituo kikuu cha polisi cha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jogoo alimwambia kuku mke 'vipi wewe mayai yanachukuliwa na wewe umekaa kimya' kuku mke akajibu 'afadhali mie, wewe unaadhini alfajiri kila siku kisha hwendi kuswali'.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hakika wanajf,mimi niko arusha hapa,kinachoendelea hapa makundi ya watu ni mengi sana,kinachosubiriwa ni hiyo kesho patachimbika hapo mahakamani ndugu zangu, tumechoka na huu ukiritimba wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kijana mmoja aliipuliza akatoka na gari njiani akamgonga trafic, akatafuta kibanda cha simu akapiga 999 akawaambia: "WASHKAJI EEEH SASA MMEBAKIA 998"
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamaa akitalii mlimani, ghafla kadondoka, akashika tawi la mti,akaw ananing'inia. Kisha kapiga kelele kuomba msaada; JAMAA: Jamani kuna yeyote hapa anisaidie? MUNGU:Jiachie nitakudaka. JAMAA: Wewe...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
You can make a difference
0 Reactions
0 Replies
957 Views
Habari zetu kwa ujumla? Naomba mwongozo wenu wana jf ili niweze kuweka avatar yangu na mimi please
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu hodihodi. Nimeona ni vema nijisajiri ili tuijenge nchi yetu. Ngo ngo ngoooo, hodiiiiiiiiii
0 Reactions
1 Replies
976 Views
Niaje wakubwa hope mko safi basi tuungane sote ili tuweze kuambukizana maarifa ya kila aina couse Iam new in JF,have a great time members.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana JF mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu Mzumbe mkoani morogoro niko mwaka wa kwanza nachukua shahada ya production and operation management niliwahi kusoma seminari ya Mtakatifu Maria...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Kutokana na timu ya Barcelona kucheza mpira mzuri na wa kuvutia, inasemekana kutokana na kiwango cha mpira wao kuwa si wa dunia hii, shirikisho la soka duniani Fifa litaitafutia sayari nyingine...
6 Reactions
73 Replies
6K Views
Back
Top Bottom