SILENT ACtOR
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 627
- 181
Jamaa akitalii mlimani, ghafla kadondoka, akashika tawi la mti,akaw ananing'inia. Kisha kapiga kelele kuomba msaada;
JAMAA: Jamani kuna yeyote hapa anisaidie?
MUNGU:Jiachie nitakudaka.
JAMAA: Wewe nani?
MUNGU:Mimi Mungu.
Jamaa baada ya kutafakari, akapiga tena kelele:
JAMAA:Jamni, kuna mtu mwingine hapa anisaidie?!:majani7:
JAMAA: Jamani kuna yeyote hapa anisaidie?
MUNGU:Jiachie nitakudaka.
JAMAA: Wewe nani?
MUNGU:Mimi Mungu.
Jamaa baada ya kutafakari, akapiga tena kelele:
JAMAA:Jamni, kuna mtu mwingine hapa anisaidie?!:majani7: