Je ni msikitini/kanisani/barabarani/club/safarini/ufukweni

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Je kuna mahali sahihi pa kukutana? Nilipata kuonana na dada mmoja njiani, nilisikia jina lake wakati akiitwa na mwenzake, hapo nikapata jinsi ya kumuingia, baada ya story za hapa na pale nilihitaji kumfahamu kwa ufupi, alinambia shule anayosoma,nilimuomba tuwe marafiki nikamuomba namba ya simu> jibu lilikuwa "yaani tumekutana njiani tu.....", nilimuhoji labda ni wapi mahali sahihi pa kukutana? Hakutoa jibu, aliniacha akaenda, bado namkumbuka lakini nitamuona tena jiji hili? Niliondoka na maswali, na bado najiuliza wapi ni mahali sahihi pa kukutana? Kipi cha kuongea unapokutana na mtu kwa mara ya kwanza?
 
Safarini (hasa safari ndefu) ndio kuzuri zaidi coz unapata wasaa mrefu zaidi wa kuzungumza. Ukitokea dar hadi ufike mwanza au arusha mpaka mbeya, bila shaka nyimbo zote utakuwa umemaliza.
 
Mwanafunzi huyo kwa hiyo mkutane shuleni halafu muongee ki-shuleshule na msiombane namba za simu coz mwanafunzi harusiwi kuwa na simu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom