Watoto watatu walikuwa wanabishana kuhusu baba zao.Majibishano yalikuwa ka ifuatavyo
Mtoto wa1: Baba yangu anakimbia sana hadi ukirushwa mshale anaanza kufika yeye kabla ya mshale
Mtoto wa 2: We unasema ana mbio!! mbio gan hizo. Mimi baba yangu ikipigwa risasi anafika kabla ya risasi
Mtoto wa 3: Ninyi wote baba zenu hawakimbii kabisa. Mimi baba yangu anaondoka nyumbani saa mbili kamili asubuhi anafika kazini saa moja na dakika 59 asubuhi siku hiyo hiyo.
Nani mkali???????????
Mtoto wa1: Baba yangu anakimbia sana hadi ukirushwa mshale anaanza kufika yeye kabla ya mshale
Mtoto wa 2: We unasema ana mbio!! mbio gan hizo. Mimi baba yangu ikipigwa risasi anafika kabla ya risasi
Mtoto wa 3: Ninyi wote baba zenu hawakimbii kabisa. Mimi baba yangu anaondoka nyumbani saa mbili kamili asubuhi anafika kazini saa moja na dakika 59 asubuhi siku hiyo hiyo.
Nani mkali???????????