Jamani mimi sina muda mrefu humu JF lakini tangu nimejiunga nimeona manufaa yake...kuna mambo mengi nlikuwa siyajui na sasa JF imenisaidia sana. Ama kweli JF inaleta maana kamili ya kujamiiana (Socialize).
Dada Vivian-hivi kungonoka ni kiswahili cha kawaida?nikiwa na maana baba na mama wanaweza kusema tume ngonoka miaka mingi lakini hatupati mtoto? Au ni cha mtaani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.