mi huWA nadindisha muda wote ninapokua posta mpya jamani! Bora umesema.
Mm posta mpya huwa naangalia uumbaji tu afu nayaacha hapo hapo...thank Allah cna tamaa na wanawake aise
[U said:fukunyungu;2280088]mi huWA nadindisha muda wote ninapokua posta mpya jamani! Bora umesema.
you great thinkers, sasa kazi huwa mnafanya saa ngapi? ...ina maana katika vitu vyote vilivyoumbwa na Mungu mnaona wanawake tu!? Kweli Waafrica tuna kitu cha ziada katika kuumbwa
Posta mpya gani?? wengine tuko huku naliendele..sasa ukisema posta mpya unatuacha..au hii JF ni ya watu wa wapi?[/SIZE]
Haya bwana..na sie wa mikoani tutaanza kuulizana mtoto wa nani anachezwa ngoma wiki hii..kumbe nyie wa Dar mna thread zenu..Mkuu hii thread ni kwa wale waishio Dar es salaam, na ambao wanapenda kwenda eneo moja linaitwa posta mpya na ni wale wenye kula kwa macho.
Haya bwana..na sie wa mikoani tutaanza kuulizana mtoto wa nani anachezwa ngoma wiki hii..kumbe nyie wa Dar mna thread zenu..
Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!mi huWA nadindisha muda wote ninapokua posta mpya jamani! Bora umesema.
Kuna jamaa yangu yeye anasema siku akiboreka anaenda posta pale anatafunta angle nzuuri anakaa hata 2hrs just kuona tu uumbaji wa mola, akitoka hapo swaaafi karidhika
Uzembe na uzurulaji! Fanya kazi kijana ujikwamue na umasikini wa fikra na kipato
Sasa nyinyi hukota posta huwa mnakwenda kutafuta wanawake au mnakuwaga na shughuli maalumu,maana mimi hainiingii akilini mtu kudindisha ovyo utafikiri ngo'mbe ambeye yupo teyari kufanya mapenzi sehemu yoyote!acheni uzushi kudindisha ni suala la kisaikologia haliwezi kutokea kiuraisi kama mnavyolielezea!!mi huWA nadindisha muda wote ninapokua posta mpya jamani! Bora umesema.
O.k kumbe ndiyo maana nchi haiendelei,kijana badala ya kufanya kazi ili nchi iendelee unakaa kona kuangalia mademu,huu ni ujinga wa hali ya juu!!Kuna jamaa yangu yeye anasema siku akiboreka anaenda posta pale anatafunta angle nzuuri anakaa hata 2hrs just kuona tu uumbaji wa mola, akitoka hapo swaaafi karidhika
kwangu Mimi Posta mpya ni kama jicho la fasheni. akina wadada warembo, mavazi yao ndo .... mwenzangu waionaje Posta mpya?