Jamaniii..nini kimetokea hapa!??????
Nimepita maeneo ya Break point ya posta naona kibao cha "Samahani kwa usumbufu" yaani wamefunga kabisa aisee..
Sasa mimi Ijumaa nitajiliwazzia wapi?
Jamani...patafunguliwa lini!??
Pote zipo! Ya posta ipo jirani na bilicanasBrek Point ya Posta au ya Kijitonyama?
TRA wanajua,japo nilisikia walikula hapo maafisa wa TRA wakaondoka bila kulipa kisa mmiliki hana receipts za kielectroniki
Mentor, si uende Kilimanjaro Hotel pako poa tuJamaniii..nini kimetokea hapa!??????Nimepita maeneo ya Break point ya posta naona kibao cha "Samahani kwa usumbufu" yaani wamefunga kabisa aisee..Sasa mimi Ijumaa nitajiliwazzia wapi?Jamani...patafunguliwa lini!??
Service zao zilikuwa poor sana siku za hapo nyuma. chakula sio kizuri kama enzi zile. kama wamefunga poa tu,. wahudumu wenyewe hamna kujali wateja
Nipe directions kaka..
Hata nikija nitawajuaje...ama zile t-shirts zimeshatoka!??
Nipe directions kaka..
Hata nikija nitawajuaje...ama zile t-shirts zimeshatoka!??
Mimi nilikuwa nakwenda pale zamani! Nina muda sijaenda, ni kama unaelekea Mlimani City ukitokea kituo cha daladala cha mwenge, upande wa kulia kwenye service road, baada tu ya kuipita iliyokuwa Silent Inn mbele kidogo! Umepaelewa?
Njoo CALABASH kijiwe cha wana JF.....Utatukuta na baba_enock