The draw:
Algeria v Zambia
Morocco v RD Congo
Congo v win Cote dIvoire/Liberia
Gabon v Mali
Sudan v Egypt
Benin v South Africa
Tunisia v Senegal
Tanzania v Nigeria
The 16th qualified...
kwa mafanikio yaliyofikiwa na timu yetu ya taifa vijana kwa kuitoa CAMEROON.na kuweka historia mpya ya soka nchini,kocha mzawa JAMHURI KIHWELU apewe mkataba rasmi na TFF na hii itawapa motisha...
Napata hisia kuwa yanga isingekuwa timu nzuri basi leo ubingwa ungekuwa wa simba.
Kwanza nianze na Star t.v-hawa walisema watatuonyesha mambo yanavyojiri kwenye viwanja vya taifa na...
LONDON, England
KOCHA Carlo Ancelotti amekiri kuwa Chelsea inatakiwa kubadilika haraka kama wanataka kuendelea kubadi kwenye Ligi ya Mabingwa hapo kesho watapocheza dhidi ya Manchester United...
Wanajamvi ningependa kufahamishwa juu ya sheria na taratibu zinazozingatiwa wakati wa kampeni za kufuzu na fainali zenyewe kwa mashindano yanayozingatia umri.Hivi majuzi tu kulikuwa na hoja...
...Yule mshambuliaji wetu hatari Ngasa alichaguliwa kukipa nguvu kikosi chetu cha Manyara Stars(U-23) lakini cha kushangaza hata kwenye orodha ya wachezaji waliotakiwa kulitetea Taifa letu...
Haya sasa wana arsenal,stan kroenke,mfanya biashara wa kimarekani amenunua 16.1% ya hisa za lady nina bracewell-smith na 15.9% za danny fiszman na hatimaye kufikisha 62% ya umiliki katika club ya...
BAO la kisigino la kiungo wa Yanga, Nurdin Bakari lilitosha kufuta ndoto ya Simba ya kutetea ubingwa wake pamoja karamu ya mabao 4-1 dhidi ya Majimaji na kutawala kadi nyekundu na kwenye Uwanja wa...
Wanajamvi, tujadili hili:
Hivi TFF imejipanga vipi kukabiliana na uwezekano wa suala la kupanga matokea katika mechi mbili zihusuzo watani wa jadi -- Simba na Yanga leo? Nasema hivi kwani uko...
Leo Vijana wametufurahisha sisi wapenda ushindi kwa timu zetu za Taifa, ikizingatiwa tumeitoa timu ya taifa ya vijana ya Cameroon...., Mashabiki leo ndio wameonyesha kuwa sasa hawataki kuonewa...
Mabingwa wa dunia wa Formula 1 msimu uliokwisha wanaonyesha dhahiri kuwa msimu huu pia watakuwa moto wa kuotea mbali.
Mie ni mshabiki wa Ferrari ningependa ifanye mambo yake lakini naona kama wana...
DUNIANI kuna michezo mingi inayopendwa kuchezwa na watoto ikiwa kama sehemu yao ya kujiburudisha, kujifurahisha na kutengeneza undugu na urafiki wa dhati baina yao.
Tanzania mchezo unaopendwa...
Vialli open to Juve call
hehehe this is good news for Juve & Seria A funs!! Former Chelsea boss Gianluca Vialli has revealed he would be interested in the Juventus job if they came calling...
...Wale wanaJF ambao mmekuwa mkifatilia soka letu la Tanzania linalokua kwa kiwango kinachoridhisha,hivi kati ya JUMA KASEJA JUMA na SHAABAN KADO nani zaidi....?
Kama mpenzi wa mpira nimeshangazwa na shortlist ya PFA Award ya msimu huu.
Waliochaguliwa ni (seniors) Samir Nasri, Charlie Adam, Carlos Tevez, Gareth Bale, Scott Parker na Nemanja Vidic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.