Tunawashambulia sana Cameroon tatizo ni umliziaji tu.....Pia mabeki wamefanya uzembe wa hali ya juu sana kuruhusu goli hili moja.....
Mrisho Ngasa hayupo hata kwenye subs(safi sana hii,naona TFF wamestuka)
Half time score 1-1, umaliziaji bado ni issue, samatta na ulimwengu wanapoteza nafasi kibao za wanahitaji kutulia 2nd hafu, kwenye kiungo kigi makassy na abubakari salumu 'sure boy' bado hawajakaa vizuri. HIVI BAADA YA MECHI YA LEO TUKISHINDA NDIO TUMEFUZU AU BADO MECHI NGAPI?
Goli la la PILI TUMEFUNGA MFUNGAJI NI THOMAS ULIMWENGU