mwanapolo
Senior Member
- Mar 29, 2011
- 193
- 56
Mabingwa wa dunia wa Formula 1 msimu uliokwisha wanaonyesha dhahiri kuwa msimu huu pia watakuwa moto wa kuotea mbali.
Mie ni mshabiki wa Ferrari ningependa ifanye mambo yake lakini naona kama wana mlima mrefu wakupanda ili kufikia Red Bull walipo. Mclaren nao wanatishia usalama wa Ferrari kutamba, ingawa Alonso anahakika gari ya Ferrari itarekebishwa zaidi ili iweze kushindana kwa kiwango cha juu.
Ngoja tusubiri Malaysian Grand prix tuone kama Ferrari wame-improve kiasi gani kwani walikuwa na gap ya 1sec per lap to Red Bull!
Mie ni mshabiki wa Ferrari ningependa ifanye mambo yake lakini naona kama wana mlima mrefu wakupanda ili kufikia Red Bull walipo. Mclaren nao wanatishia usalama wa Ferrari kutamba, ingawa Alonso anahakika gari ya Ferrari itarekebishwa zaidi ili iweze kushindana kwa kiwango cha juu.
Ngoja tusubiri Malaysian Grand prix tuone kama Ferrari wame-improve kiasi gani kwani walikuwa na gap ya 1sec per lap to Red Bull!