commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
kwa mafanikio yaliyofikiwa na timu yetu ya taifa vijana kwa kuitoa CAMEROON.na kuweka historia mpya ya soka nchini,kocha mzawa JAMHURI KIHWELU apewe mkataba rasmi na TFF na hii itawapa motisha zaidi wengne wenye uwezo na vipaji nchini..kuliko kuendelea kuwathamini makocha wa kigeni pekee,huku tukiwaacha wazawa wenye kuonyesha uwezo kama hao wgeni.