Habari wanajamvi,
Jana nlikuwa nikiangalia taarifa anuai za fainali ya michezo/matamasha ya pasaka
Kilichonisikitisha ni kwa Timu ya Tanzania kushika mkia kwenye mchezo wa DARTS
Duu ina maana sisi...
Timu ya arsenal imetimia miaka sita (misimu sita) bila kuchukua kikombe chochote. Kwa takriba misimu minne iliyopita timu hiyo imekuwa ikianza na kasi ya ajabu na kuonesha dalili ya kuchukua...
Jamani angalieni tbc1 kisha tujadili.Wajanja wamemzunguka mwenyekiti kabla mkataba wa mwanzo haujaisha wamesaini mwingine kwa kodi sh laki 2 kwa mwezi badala ya 1.2m, ni kama vile TICTS...
tff ilielekeza vilabu vyote viajiri wasemaji wao lakini hivi karibuni naona hii haifanyiki hasa klabu ya simba.
Sasa hivi kila kitu utamuona mwenyekiti wao anauza sura kwenye vyombo vya habari...
Ukifutilia kwa makini unaweza kubaini hili:
Vyombo vya habari vya Tanzania hasa FM redios zina mchango mdogo sana kuhusu maendeleo ya soka la hapa nyumbani. Mara nyingi ukisikiliza radio kama...
Mambo yamezidi kuiendea kombo timu ya arsenal baada ya leo kufungwa goli 2 kwa 1 na kupoteza kabisa ndoto za ubingwa msimu huu. Sasa imetimia miaka sita bila timu hiyo kupata ubingwa wowotea. Ni...
There is this song sung by daniel bendedfield"if ur not the one" i wish friends u can listen it.i lyke it.yani u just miss the one u love.nd if u brokeup u jus feel lyke u going back 2 each other
KIPA wa Simba na timu ya taifa 'Taifa Stars', Juma Kaseja amesema hawezi kuzungumza chochote juu ya suala lolote linalohusu klabu yake au timu ya taifa.
Nimeamua kufumba mdomo na kuuchunga...
Thursday, 21 April 2011 09:27
Clara Alphonce
Mrisho Ngasa
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga anayekipiga Azam FC, Mrisho Ngassa amesema yuko tayari kurejea Yanga lakini endapo tu viongozi wa...
18 April 2011
A TURKISH firm, Petroland Alliance Company, has set up a budget estimate of US 50m dollars for construction of a new stadium for the Mainland soccer giants, Simba Sports Club.
The...
Soka linamengi sana na kila mtu hupata msisimko kulingana na jinsi anavyoona soka linachezwa ,kunatimu zinaamini katika kupasiana mpira hadi pasi mia 9 na kuendelea ,Kunatimu huwa na wachezaji...
By DAILY NEWS Reporter, 19th April 2011 THE Tanzania Amateur Netball Association, CHANETA is staggering from the unprecedented departure of the national team coach Australian Simone McKinnis...
From MARC NKWAME in Arusha, 20th April 2011 MEMBERS of the oldies soccer team, the Wazee Sports Club from Arusha, will be touring the spice Island of Zanzibar throughout this Easter Season...
By MUHIDIN ISSA MICHUZI, 20th April 2011
THE Okinawa Goju Ryu Karate-Do association in Tanzania on Tuesday night celebrated its 38th anniversary with a grand demonstration that saw four senior...
Scotsman Newspaper
Published Date: 20 April 2011
FORMER Hibs and Kilmarnock boss Bobby Williamson appears to be persona non grata in Tanzania after he was accused of bribing the referee in an...
KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania, Nizar Khalfan ataiongoza timu yake ya Vancouver Whitecaps itakapoikabiri Manchester City kwenye mchezo wa kirafiki hapoJulai 18.
Khalfan ambaye amefanikiwa...
ABINGWA wa Afrika, TP Mazembe wameendelea kuisambaratisha Simba baada ya kumnasa Mbwana Samata kwa Shs 150m, sasa wamemgeukia kiungo wa klabu hiyo Patrick Ochan anayetarajia kuondoka wiki ijayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.