Bravo!! vijana wa Julio, Julio anajua kucheza na saikolojia ya wachezaji. TFF wangekuwa makini na wanathamini mchango wa makocha wazalendo, makocha kama Jamhuri Kihwelo, wangepelekwa ulaya na kupata kozi zaidi ya ukocha ..na kisha kuingizwa katika benchi la ufundi la timu ya taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.