TFF, VODACOM, STAR T.V walipanga kuihujumu Yanga?

kipindupindu

JF-Expert Member
Dec 16, 2010
1,053
170
Napata hisia kuwa yanga isingekuwa timu nzuri basi leo ubingwa ungekuwa wa simba.

Kwanza nianze na Star t.v-hawa walisema watatuonyesha mambo yanavyojiri kwenye viwanja vya taifa na kirumba.lakini waliishia kutuonyesha taifa peke yake.
Pili kwa wandaaji wa ligi kuu ambao ni TFF na Vodacom,hawa wameleta kichefuchefu sana,sijui ilikuaje kombe likapelekwa uwanja wa taifa wakati bingwa angeweza kutokea kirumba au taifa?isitoshe uwezekano wa yanga kuchukua ubingwa ulikuwa mkubwa kulinganisha na simba.
Kilichoudhi kabisa ni jinsi kombe lenyewe pamoja na stage kupambwa kwa rangi nyeupe na nyekundu(rangi za simba s.c)
huu ni ufisadi mnaohusika jirekebisheni!
 
Napata hisia kuwa yanga isingekuwa timu nzuri basi leo ubingwa ungekuwa wa simba.

Kwanza nianze na Star t.v-hawa walisema watatuonyesha mambo yanavyojiri kwenye viwanja vya taifa na kirumba.lakini waliishia kutuonyesha taifa peke yake.
Pili kwa wandaaji wa ligi kuu ambao ni TFF na Vodacom,hawa wameleta kichefuchefu sana,sijui ilikuaje kombe likapelekwa uwanja wa taifa wakati bingwa angeweza kutokea kirumba au taifa?isitoshe uwezekano wa yanga kuchukua ubingwa ulikuwa mkubwa kulinganisha na simba.
Kilichoudhi kabisa ni jinsi kombe lenyewe pamoja na stage kupambwa kwa rangi nyeupe na nyekundu(rangi za simba s.c)
huu ni ufisadi mnaohusika jirekebisheni!
usihofu kijana kombe ni lenu
 
Napata hisia kuwa yanga isingekuwa timu nzuri basi leo ubingwa ungekuwa wa simba.

Kwanza nianze na Star t.v-hawa walisema watatuonyesha mambo yanavyojiri kwenye viwanja vya taifa na kirumba.lakini waliishia kutuonyesha taifa peke yake.
Pili kwa wandaaji wa ligi kuu ambao ni TFF na Vodacom,hawa wameleta kichefuchefu sana,sijui ilikuaje kombe likapelekwa uwanja wa taifa wakati bingwa angeweza kutokea kirumba au taifa?isitoshe uwezekano wa yanga kuchukua ubingwa ulikuwa mkubwa kulinganisha na simba.
Kilichoudhi kabisa ni jinsi kombe lenyewe pamoja na stage kupambwa kwa rangi nyeupe na nyekundu(rangi za simba s.c)
huu ni ufisadi mnaohusika jirekebisheni!

Nadhani baada ya haya matokeo watajibeba
Hata Kombe liandikwe Aden Rage bado litaenda Jangwani
 
mkuu inauma ati,yaani ubingwa wa yanga haujasisimua nchi kabisa!

tukiweka ushabiki pembeni utakuja kugundua kuwa wenye majukumu wanapenda vitu vya kulipua lipua kwa sababu hakuna mtu wa kuwawajibisha so ndio maana hakuna ufanisi.
miafrica ndio tulivyo-Nyani Ngabu
 
Alway hii timu inabebwa sana. Sikutegemea wangekosa ubingwa leo Maana walipanga dhahiri wachakachue waliwambia Majimaji wapoteze muda ili wapate kuyajuwa matokeo ya CCM Kirumba, Mpira umeiisha baina ya Toto na Yanga lakini Uwanja wa taifa ukaimalizika baada ya dak. 13. Shame on you Simba,TFF,Refa na Majimaji pia hawa Star TV Wasipewe tena right ya kuonyesha VPL Kwanza watangazaji wao wote wanashindwa hata kuficha ushabiki wao Hasa huyo Tom CHILALA MSHAMBA KWELI
 
Alway hii timu inabebwa sana. Sikutegemea wangekosa ubingwa leo Maana walipanga dhahiri wachakachue waliwambia Majimaji wapoteze muda ili wapate kuyajuwa matokeo ya CCM Kirumba, Mpira umeiisha baina ya Toto na Yanga lakini Uwanja wa taifa ukaimalizika baada ya dak. 13. Shame on you Simba,TFF,Refa na Majimaji pia hawa Star TV Wasipewe tena right ya kuonyesha VPL Kwanza watangazaji wao wote wanashindwa hata kuficha ushabiki wao Hasa huyo Tom CHILALA MSHAMBA KWELI

blah blah
 
mkuu inauma ati,yaani ubingwa wa yanga haujasisimua nchi kabisa!

Mungu siku zote ni mtenda haki.
Na kilichopangwa na Mungu binadamu hawezi kubadilisha hata kwa tingatinga.

Inawezekana hao TFF walishilikiana na SImba na Voda kuaeleza Majimaji jinsi ya kucheza ili wakaribishe mashambulizi na hatimaye mapenati kibao. Mungu akaona hilo janja.

Ubingwa huu ni mtamu kuliko hata ubingwa wowote wa Yanga tangu 1990, maana umeliza wachezaji, viongozi na mashabiki wa Simba. Na wataendelea kulia wiki nzima. Sasa subili rufaa zao za TP Mazembe nazo zitupwe ndo watalia wiki 5 mfululizo.
Yaani walitaka ubingwa wa Bara, huku wakitaka na kuitoa TP Mazembe mezani
 
Rangi nyekundu na nyeupe ndizo rangi mpya za vodacom........

Tatizo ni kulileta Kombe Taifa.
Kwa situation hii (tukiacha ushabiki) ilipaswa kombe lifichwe kabisa.
Kulipeleka kombe uwanjani kati ya Simba na Majimaji ni kwamba walikuwa wanawapa hamasa wachezaji wa Simba wacheze kwa bidii zaidi.
Hili ndio litakalo chafua TFF, Star TV pamoja na Voda,
 
Napata hisia kuwa yanga isingekuwa timu nzuri basi leo ubingwa ungekuwa wa simba.

Kwanza nianze na Star t.v-hawa walisema watatuonyesha mambo yanavyojiri kwenye viwanja vya taifa na kirumba.lakini waliishia kutuonyesha taifa peke yake.
Pili kwa wandaaji wa ligi kuu ambao ni TFF na Vodacom,hawa wameleta kichefuchefu sana,sijui ilikuaje kombe likapelekwa uwanja wa taifa wakati bingwa angeweza kutokea kirumba au taifa?isitoshe uwezekano wa yanga kuchukua ubingwa ulikuwa mkubwa kulinganisha na simba.
Kilichoudhi kabisa ni jinsi kombe lenyewe pamoja na stage kupambwa kwa rangi nyeupe na nyekundu(rangi za simba s.c)
huu ni ufisadi mnaohusika jirekebisheni!
Bora hata ushukuru hawakuwaonesha hao Yanga na Watoto wao, wala usingefurahia ubingwa....Matokeo ni ya kupangwa ...wazi wazi kabisa. Mnanunua mechi sijui kwa faida ya nani...CAF kila mwaka ni wahapahapa tu.
 
Tusiwe watu wa kulahumu na kukulupuka,ubingwa ilikuwa either Simba Or Yanga,kwakuwa simba ilikuwa taifa kombe lilikuwepo na likapambwa na rangi nyekundu na nyeupe,Yanga walikuwa Kirumba nilikuwepo Kombe lilikuwepo ingawa sio original na likapambwa kwa rangi zakijan na njano.kwanini Original lilikuwa DAR?Simba alikuwa mteteze hivyo first priority alipewa yeye.Tuache majungu.Kuhusu Star TV waliomba radhi matatizo ya kiufundi na inawezekana.
 
blah blah

blah blah! Ndio ni blah blah na wewe ndo walewale utakufa na kijiba karamu mbili zilimshinda Fisi Leo zimemshinda Simba koko huku unataka ubingwa wa bara huku unajidanganya kuitoa TP Mazembe hovyoooo eti wao ndio wanaweza katika mashindano ya Kimataifa miaka nenda rudi unatoka raundi ya kwanza. Kama mwaka huu utajisifu umewatoa wa comorro mna akili kweli nyie? Blah blah
 
Tusiwe watu wa kulahumu na kukulupuka,ubingwa ilikuwa either Simba Or Yanga,kwakuwa simba ilikuwa taifa kombe lilikuwepo na likapambwa na rangi nyekundu na nyeupe,Yanga walikuwa Kirumba nilikuwepo Kombe lilikuwepo ingawa sio original na likapambwa kwa rangi zakijan na njano.kwanini Original lilikuwa DAR?Simba alikuwa mteteze hivyo first priority alipewa yeye.Tuache majungu.Kuhusu Star TV waliomba radhi matatizo ya kiufundi na inawezekana.

Kwahiyo unataka kusema Yanga baada ya mechi walikabidhiwa "KOMBE" lao feki??
Una uhakika na unayoyasema ndugu?????
Isitoshe Kombe la Vodacom linapabwa rangi za mdhamini na wala sio rangi za klabu. Hata England kombe la PL nitapambwa rangi za Barclays Bank.
 
Alway hii timu inabebwa sana. Sikutegemea wangekosa ubingwa leo Maana walipanga dhahiri wachakachue waliwambia Majimaji wapoteze muda ili wapate kuyajuwa matokeo ya CCM Kirumba, Mpira umeiisha baina ya Toto na Yanga lakini Uwanja wa taifa ukaimalizika baada ya dak. 13. Shame on you Simba,TFF,Refa na Majimaji pia hawa Star TV Wasipewe tena right ya kuonyesha VPL Kwanza watangazaji wao wote wanashindwa hata kuficha ushabiki wao Hasa huyo Tom CHILALA MSHAMBA KWELI

umeona ee!yaani uchakachuaji wa kitoto kabisa.
 
Tusiwe watu wa kulahumu na kukulupuka,ubingwa ilikuwa either Simba Or Yanga,kwakuwa simba ilikuwa taifa kombe lilikuwepo na likapambwa na rangi nyekundu na nyeupe,Yanga walikuwa Kirumba nilikuwepo Kombe lilikuwepo ingawa sio original na likapambwa kwa rangi zakijan na njano.kwanini Original lilikuwa DAR?Simba alikuwa mteteze hivyo first priority alipewa yeye.Tuache majungu.Kuhusu Star TV waliomba radhi matatizo ya kiufundi na inawezekana.

yaani huu ndio utetezi wenu!kwa nini kote yasikae makombe feki?au kwa nini isichaguliwe siku ya kukabidhi kombe?yaani matatizo ya kiufundi yanatokea mwanza(makao makuu ya star t.v) halafu dar matangazo yanaendelea!!huu ni mpango!
 
Wewe hufuatilii soka makombe yalikuiwa mawili mwanza na dar. Yanga na toto afrika kombe lilikuwepo uwanjani. Simba na majimaji kombe lilikuwepo uwanjani. Kashinda yanga kapewa kombe. La simba likarudishwa. Take that
 
Wewe hufuatilii soka makombe yalikuiwa mawili mwanza na dar. Yanga na toto afrika kombe lilikuwepo uwanjani. Simba na majimaji kombe lilikuwepo uwanjani. Kashinda yanga kapewa kombe. La simba likarudishwa. Take that

una uhakika na ulichoandika?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom