kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Napata hisia kuwa yanga isingekuwa timu nzuri basi leo ubingwa ungekuwa wa simba.
Kwanza nianze na Star t.v-hawa walisema watatuonyesha mambo yanavyojiri kwenye viwanja vya taifa na kirumba.lakini waliishia kutuonyesha taifa peke yake.
Pili kwa wandaaji wa ligi kuu ambao ni TFF na Vodacom,hawa wameleta kichefuchefu sana,sijui ilikuaje kombe likapelekwa uwanja wa taifa wakati bingwa angeweza kutokea kirumba au taifa?isitoshe uwezekano wa yanga kuchukua ubingwa ulikuwa mkubwa kulinganisha na simba.
Kilichoudhi kabisa ni jinsi kombe lenyewe pamoja na stage kupambwa kwa rangi nyeupe na nyekundu(rangi za simba s.c)
huu ni ufisadi mnaohusika jirekebisheni!
Kwanza nianze na Star t.v-hawa walisema watatuonyesha mambo yanavyojiri kwenye viwanja vya taifa na kirumba.lakini waliishia kutuonyesha taifa peke yake.
Pili kwa wandaaji wa ligi kuu ambao ni TFF na Vodacom,hawa wameleta kichefuchefu sana,sijui ilikuaje kombe likapelekwa uwanja wa taifa wakati bingwa angeweza kutokea kirumba au taifa?isitoshe uwezekano wa yanga kuchukua ubingwa ulikuwa mkubwa kulinganisha na simba.
Kilichoudhi kabisa ni jinsi kombe lenyewe pamoja na stage kupambwa kwa rangi nyeupe na nyekundu(rangi za simba s.c)
huu ni ufisadi mnaohusika jirekebisheni!