Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Simba imeanza vizuri msimu waa Ligi Kuu Tanzania Bara Msimu wa 2026/2027 kwa kuifunga Kagera Sugar Magoli 2-0, leo Agosti 16, 2026. Baada ya mechi za maandalizi na bonanza, sasa Ligi yenyewe...
7 Reactions
43 Replies
1K Views
Ligi yetu kivyetuvyetu imeanza mapema kabla ya ligi kubwa na pendwa uko duniani ila yetu lazima itanasa tu uko katikati na itakua yamwisho kumalizika tena tuna timu chache na mashindano machache...
0 Reactions
10 Replies
117 Views
Wenyewe mnaona katika misimu miwili iliyoisha, Ubingwa unaenda kujilikana mpaka siku ya mwisho kwa maana ya kuwa tofauti ndogo kabisa ya Point zisizodi 3 ndio huwatengenisha na Mabingwa. Najua...
2 Reactions
41 Replies
568 Views
Ligi ya Mpira wa Miguu ya Tulia Trust Uyole Cup 2026 imemalizika hii leo kwa Timu ya Masandawana FC kuibuka Mabingwa kwa ushindi wa Penati 3-2 dhidi ya Airport FC baada ya dakika tisini kumalizika...
1 Reactions
1 Replies
32 Views
Football Video Support (VS) ni mfumo mpya wa usaidizi wa video ulioanzishwa na FIFA ili kuwasaidia waamuzi kufanya maamuzi sahihi katika mashindano ambayo hayawezi kutumia mfumo wa VAR kutokana na...
2 Reactions
1 Replies
65 Views
Habari zenu wana Jamii forums!! Ligi Kuu ya Tanzania (NBC Premier League) kwa sasa inatajwa kuwa miongoni mwa ligi bora barani Afrika kwa ubora na ushindani. Tumeona uwekezaji mkubwa wa haki za...
9 Reactions
30 Replies
294 Views
Lile tukio hadi leo hua linakuja kichwani nachek aisee. Mwenye ile picha aipost hapo chini nicheke tena😂😂 Yule mzee thinking ni ndogo kabisa, na yule mzeee ni shabiki Simba sio mwana chama wa...
4 Reactions
54 Replies
857 Views
Ni suala la mda Ni wazi umafia wa Klabu ya Yanga anao mfanyia Simba, ipo siku kutakucha na taarifa ya "SIMBA IMESAJILIWA NA YANGA"
3 Reactions
8 Replies
134 Views
Huo ndio ukweli usajili wa Peter Shalulile ulikuwa zaidi wa muhemko na kutaka kukomoa tu. Kwenye hii derby kipindi cha kwanza kaonyesha failure tayari, na hata ile game ya bonanza. Mchezaji...
7 Reactions
47 Replies
729 Views
Nadhani tunamhitaji Dennis Nkane wakuu. Kwakuwa pesa ziko Benki na hakuna mtandao, tunaomba GSM amlipe Nkane bilioni 8 ili aje msimbazi kwa msimu 1.
3 Reactions
7 Replies
123 Views
eFootball ni mchezo wa simu unaohusisha mpira wa miguu, na hapa kuna habari muhimu kuhusu mchezo huo: ▫️Jina na Kurekebishwa: Mchezo huu awali ulijulikana kama "Pro Evolution Soccer" (PES)...
26 Reactions
18K Replies
308K Views
Kwa asiyemjua basi jaribu kugoogle interviews zake utapata wasaa wa kutabasamu sana. Anafurahisha huku akitia facts za maana sana. KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
1 Reactions
3 Replies
120 Views
Mabingwa watetezi, Yanga wameichapa 3-1 timu ya Namungo kwenye uwanja wao nyumbani. Yanga imeanza ligi kuu kwa mguu mzuri baada ya kushinda mechi yao ya kwanza wakiwa ugenini na kuvuna alama 3...
5 Reactions
46 Replies
1K Views
Tukiwa tunamalizia msimu huu, baadhi ya timu zimeshaanza kutoa jezi mpya kwa msimu ujao. Timu kubwa ya kwanza kuachia jezi zao ni Bayern Munich. Uzi huu utakuwa unakuletea jezi mpya kadri...
10 Reactions
111 Replies
3K Views
Kiungo mshambuliaji wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, amerejea tena katika Klabu ya Yanga SC baada ya kuacha alama kubwa katika kipindi chake cha awali ndani ya timu hiyo. Aziz Ki aliitumikia...
8 Reactions
17 Replies
385 Views
Arsenal bingwa Ngao ya Jamii 2026 == NANI ATAONDOKA NA KOMBE LA KWANZA LA MSIMU? Ni mabingwa wa Premier League dhidi ya washindi wa FA Cup katika pambano la kuwania kombe la kwanza la msimu...
4 Reactions
47 Replies
626 Views
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya...
39 Reactions
2K Replies
126K Views
Timu ya Yanga SC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba SC katika mchezo wa Ngao ya Jamii uliochezwa leo, Agosti 12, 2026, Zanzibar. Goli la Yanga limefungwa dakika 31 na Albert Kangwanda...
10 Reactions
386 Replies
8K Views
  • Poll Poll
Je, ipi ni Marathon kubwa zaidi Tanzania? Kilimanjaro Marathon au NBC Dodoma Marathon au CRDB Marathon? Kwa miaka kadhaa sasa, Tanzania imekuwa na mbio za marathon zinazovutia maelfu ya washiriki...
5 Reactions
87 Replies
2K Views
Tanzania utani ni mwingi sana. Otherwise mnisaidie kujua, kwenye mechi ya jana pale Amaan Stadium ile ni VAR au Azam Tv. Pembeni niliona wamefunga antena.
5 Reactions
12 Replies
453 Views
Back
Top Bottom