Simba imeanza vizuri msimu waa Ligi Kuu Tanzania Bara Msimu wa 2026/2027 kwa kuifunga Kagera Sugar Magoli 2-0, leo Agosti 16, 2026.
Baada ya mechi za maandalizi na bonanza, sasa Ligi yenyewe...
Ligi yetu kivyetuvyetu imeanza mapema kabla ya ligi kubwa na pendwa uko duniani ila yetu lazima itanasa tu uko katikati na itakua yamwisho kumalizika tena tuna timu chache na mashindano machache...
Wenyewe mnaona katika misimu miwili iliyoisha, Ubingwa unaenda kujilikana mpaka siku ya mwisho kwa maana ya kuwa tofauti ndogo kabisa ya Point zisizodi 3 ndio huwatengenisha na Mabingwa.
Najua...
Ligi ya Mpira wa Miguu ya Tulia Trust Uyole Cup 2026 imemalizika hii leo kwa Timu ya Masandawana FC kuibuka Mabingwa kwa ushindi wa Penati 3-2 dhidi ya Airport FC baada ya dakika tisini kumalizika...
Football Video Support (VS) ni mfumo mpya wa usaidizi wa video ulioanzishwa na FIFA ili kuwasaidia waamuzi kufanya maamuzi sahihi katika mashindano ambayo hayawezi kutumia mfumo wa VAR kutokana na...
Habari zenu wana Jamii forums!!
Ligi Kuu ya Tanzania (NBC Premier League) kwa sasa inatajwa kuwa miongoni mwa ligi bora barani Afrika kwa ubora na ushindani. Tumeona uwekezaji mkubwa wa haki za...
Lile tukio hadi leo hua linakuja kichwani nachek aisee.
Mwenye ile picha aipost hapo chini nicheke tena😂😂
Yule mzee thinking ni ndogo kabisa, na yule mzeee ni shabiki Simba sio mwana chama wa...
Huo ndio ukweli usajili wa Peter Shalulile ulikuwa zaidi wa muhemko na kutaka kukomoa tu. Kwenye hii derby kipindi cha kwanza kaonyesha failure tayari, na hata ile game ya bonanza.
Mchezaji...
eFootball ni mchezo wa simu unaohusisha mpira wa miguu, na hapa kuna habari muhimu kuhusu mchezo huo:
▫️Jina na Kurekebishwa: Mchezo huu awali ulijulikana kama "Pro Evolution Soccer" (PES)...
Kwa asiyemjua basi jaribu kugoogle interviews zake utapata wasaa wa kutabasamu sana.
Anafurahisha huku akitia facts za maana sana.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mabingwa watetezi, Yanga wameichapa 3-1 timu ya Namungo kwenye uwanja wao nyumbani. Yanga imeanza ligi kuu kwa mguu mzuri baada ya kushinda mechi yao ya kwanza wakiwa ugenini na kuvuna alama 3...
Tukiwa tunamalizia msimu huu, baadhi ya timu zimeshaanza kutoa jezi mpya kwa msimu ujao. Timu kubwa ya kwanza kuachia jezi zao ni Bayern Munich.
Uzi huu utakuwa unakuletea jezi mpya kadri...
Kiungo mshambuliaji wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, amerejea tena katika Klabu ya Yanga SC baada ya kuacha alama kubwa katika kipindi chake cha awali ndani ya timu hiyo.
Aziz Ki aliitumikia...
Arsenal bingwa Ngao ya Jamii 2026
==
NANI ATAONDOKA NA KOMBE LA KWANZA LA MSIMU?
Ni mabingwa wa Premier League dhidi ya washindi wa FA Cup katika pambano la kuwania kombe la kwanza la msimu...
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya...
Timu ya Yanga SC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba SC katika mchezo wa Ngao ya Jamii uliochezwa leo, Agosti 12, 2026, Zanzibar.
Goli la Yanga limefungwa dakika 31 na Albert Kangwanda...
Je, ipi ni Marathon kubwa zaidi Tanzania? Kilimanjaro Marathon au NBC Dodoma Marathon au CRDB Marathon?
Kwa miaka kadhaa sasa, Tanzania imekuwa na mbio za marathon zinazovutia maelfu ya washiriki...
Tanzania utani ni mwingi sana.
Otherwise mnisaidie kujua, kwenye mechi ya jana pale Amaan Stadium ile ni VAR au Azam Tv. Pembeni niliona wamefunga antena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.