Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!

On JF:

Alishawahi kuonja siasa za maji taka a.k.a siasa uchwara. ila ni gamba linalojua kuupimia upepo unakoelekea.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna kazi nzito ya kuelimisha vijana kutotumika kwa utaratibu huu kwa manufaa ya vizito wanaolinda na kutetea nafasi zao.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Leo hii ikiwa kwapa linaloonekana na kila mtu limeachiwa lina titirika mijasho hali kama hiyo ,jee hizo sehemu za geza ulole zitakuwaje?
0 Reactions
25 Replies
13K Views
One die, million cry. Million die, no one cry.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Motorola MicroTAC hii ilionekana Poa Baadae ikaja Model Mpya yake Ikaitwa Star Tac Ukiifunika inatoa mlio wa Tac Poa Sana Nokia 101 Ilikuwa lazima ucharge kila siku ukitoka job NEC P100 hizi...
0 Reactions
18 Replies
10K Views
Mbunge mteule wa jimbo la Igunga, Dk Dalaly Kafumu (CCM) akisalimia wananchi katika mkutano wa kumkaribisha jijini Dar es Salaam, leo kwenye Viwanja vya Bakhresa Manzese. Kushoto ni Mke wake...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hakuna sababu ya kuingia gharama zisizo za lazima wakati uwezo wako na nafasi yako inakuruhusu kiwango hiki, hapajaharibika neno maana kila hali imeonyesha kukidhi hadhi.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
<tbody> Ln Wengi mnamkumbuka mwalimuNyerere mie namkumbuka Pope kwa kazi yake aliyoifanya ambayo mwalimu Julias hata robo yake haifiki...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
WAZUNGU KWA MICHEZO SI MCHEZO HUYU KIJANA ALIKUWA NA MIAKA 24 KARUSHWA KAFA NA SISI KWANINI KAMA MPIRA WA MIGUU HATUUWEZI TUSIBUNI MICHEZO MBADALA
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Madaktari wa Hospitali ya Holy Family (HFH) mjini hapa wanapigania maisha ya mtoto aliyezaliwa Septemba 25, mwaka huu akiwa na sura mbili na uzito wa kilo 3.2.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Naibu Waziri wa Ujenzi, Dkt.Harrison Mwakyembe wakati alipomtembelea nyumbani kwake Kunduchi Mtongani, jijini Dar es Salaam juzi.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
hii ni zaidi ya furaha..au wewe unasemje?
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Ulimwengu wa leo tekinologia ya digital inaenea kwa kasi ya ajabu, kwani haichagui nahali, watu, rika nk
0 Reactions
3 Replies
2K Views
"Thirty years ago Americans had Steve Jobs, Johnny Cash and Bob Hope... Now they don't have jobs, cash, and and no hope..."
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haya jamani Mzee wa Kaya kafikisha miaka 61 hivyo mtumieni hapi basidei yake aeendele kupata maisha bora na aendeleze yale maisha bora kwa kila mtanzania
0 Reactions
5 Replies
2K Views
MJ
NDEGE YA MICHAEL JORDAN JE HUU NI UWEKEZAJI,KWANINI SERIKALI ISIFANYE HAWA WEIUSI WENZETU NAO WAJE KUWEKEZA HAPA NCHINI
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jengo la ghorofa la matofali mabichi kama lilivyonaswa na mpigapicha wetu katika kijiji cha Msafiri kilichopo Bungu wilayani Rufiji jana. Ni hatari, lakini salama.
0 Reactions
12 Replies
4K Views
mzee wakaya kaamua kujiandaa na fujo za wamchadema zisimpate sasa yeye anaambatana na ffu kazi kweli kweli. Jamaa wenyewe wapo relax hawana hata virungu kweli bongo tambarare.
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Back
Top Bottom